Recent content by Mangu shadrack

  1. M

    Kwanini magari ya serikali yaliitwa mashangingi?

    Kweli mkuu,mi pia naomba kujulishwa.
  2. M

    Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

    Dah! Staangalia tena bongo mv couz aliyekuwa muigiza bora kwangu kanitoka. Dah ina pain sana
  3. M

    Network inapo sumbua maujanja haya hapa.

    Aise kwa wenye mabafu ambayo hayajaezekwa imekula kwenu.
  4. M

    Kwa mwana ccm changia hapa.

    Umekosa kazi ya kufanya.acha upuuzi
  5. M

    Lema: Ikulu imenivua ubunge ; Ikulu yamjibu vikali

    Maelezo yaliyotolewa na mp lema yanaonesha kweli kulikuwa na mazingila fulani fulani ila kwa hali hii wameanza kufisadi na muhimili wa mahakama maskini tuokwisha.
  6. M

    Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru

    Huyu jamaa nadhani hukulelewa na wazi wake. Hana hata aibu ya kustili.
  7. M

    Hoja za Chadema zinapojibiwa kwa MATUSI, [video]

    Hiv kama wafuasi wa chadema wangeshikwa na jaziba na zani arumeru ingekuwa kama misri.kiongoz mkubwa ambaye anawakilisha watu.anasimama jukwaani nakuonge upuzi. Ni ajabu jamani.
  8. M

    Nape kushtakiwa kwa JK kwa matusi Mwanza

    Hakuna mwana ccm aliye na akili karne hii.ispokua mwl j k nyele.
  9. M

    Je! Beef hii ni Dar dhidi ya Arusha?

    Nikki mbishi ni kichupi tu hana mistali wala nini anategemea migöngo ya watu ili atoke ni fyatu tu.
Back
Top Bottom