Maelezo yaliyotolewa na mp lema yanaonesha kweli kulikuwa na mazingila fulani fulani ila kwa hali hii wameanza kufisadi na muhimili wa mahakama maskini tuokwisha.
Hiv kama wafuasi wa chadema wangeshikwa na jaziba na zani arumeru ingekuwa kama misri.kiongoz mkubwa ambaye anawakilisha watu.anasimama jukwaani nakuonge upuzi. Ni ajabu jamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.