Nilini mtatoa vibari vya uhamisho Kwa watumishi walio chini yenu ? Maombi yanaonekana yapo tamisemi zaidi ya miezi 6, na yamefuata taratibu zote. Wahudumieni kupunguza hisia za "uhamisho ni mpaka utoe rushwa''
Mpaka Sasa Rais hajateua mwenyekiti wa TSC tangu mwaka jana mwezi wa saba 2023 hakuna Aliyethibitishwa kazini kutokana na ukosefu wa mwenyekiti.
Mashauri ya kinidhamu ngazi ya wilaya yamekuwa Mengi mno maana hayawezi tatuliwa maana hakuna kamati iliyoundwa kutokana na itifaki, hata kupandishwa...
Kwani kwa unavyo ona hii story itaisha? Hizi nidalili za msimuliaji kuwakimbia wasimuliwaji, .... Zamani alikuwa akichelewesha kutuma episode aliomba samahani sikuhizi akichelewesha kutuma episode tunasema mchawi elfu tatu....
Sasa wanasiasa wetu hawa wa kusin mwa jangwa la sahara wanaweza kutumia njia ipi ya usafiri zaidi ya hayo Malory? Tukubaliane tu kuwa tunasafari ndefu Sana katika nyanja za sayansi na teknolojia , kisiasa, kijamii na kisiasa.
Ukitafakari vyema bila ushabiki wa vyama utagundua kabisa tunamkwamo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.