Recent content by MangiMeli_2

  1. M

    Professor wa chuo kikuu nchini Marekani, Morehouse College, anaitwa Nathan Alexander, ana miaka 34

    Muwe mnaweka habari kamili na chanzo Prof holds baby during class after dad can't find sitter by Daniel Otis and Ben Cousins, CTVNews.ca Staff Published Monday, March 4, 2019 10:44AM EST When a student at Atlanta’s Morehouse College couldn’t find a sitter for his baby daughter last...
  2. M

    Catholic priest 'fathers' girl with congregant's fiancée

    A Roman Catholic Church priest from Musina, Limpopo (South Africa) has been accused of breaking the church's oath of celibacy by allegedly failing to keep his pants on. Father Martin Magoro was accused of snatching one of his spiritual flock's girlfriends and allegedly sired a child with her...
  3. M

    TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

    Ukiona wanatumia gharama kubwaa ktk ujenzi wa kaburi la hayati Ruge, ni ishara kuwa walikuwa wanampenda mno na hivyo walimsapoti kifedha sana ktk kipindi cha matibabu yake ili kuokoa maisha.
  4. M

    Saudi Arabia yamfutia uraia Mtoto wa Osama Bin Laden

    Mkuu, taratibu...Hayo ni mambo yaliyo juu ya upeo wako. Kwa kukusaidia tu huyo mtoto wa Osama, marehemu baba yake na wengine wenye misimamo mfano wake ktk uislamu twawaita makhawariji. Ukitaka kujua zaidi kuhusu khawariji na tulivyoelekezwa namna ya kushughulika nao pitia hapa chini...
  5. M

    Rais Durterte asema mapadri wa kanisa katoliki huwalawiti masista na watoto wadogo.

    Gavana Pamoja na kuwa ulichukizwa na Mgen kumzushia na kumtusi nabii Muhammad, mafunzo yetu yatutaka tujadiliane na wakristo kwa hoja, pasi matusi. Ni afadhali kumtukana Mgen kama Mgen lakini si kumtukana Jesus. Mafunzo yetu yatutaka kumuamini na kumuheshimu nabii Issa kwa kumuweka ktk daraja...
  6. M

    Hivi kwanini Maprofesa wengi ni wazee?

    Uprofesa kwa Tanzania... Mtu mwenye masters na akawa anafundisha chuo kikuu huitwa assistant lecturer. Akisoma degree ya uzamivu (PhD) na kuhitimu ataitwa Dr.x na hapo anakuwa lecturer. Kutokea hapo kadiri anavyochapisha (publish) research papers ambazo pia nyingine hutokana na Thesis zake za...
  7. M

    India Yafanya Mashambulizi Ya Anga Nchini Pakistan

    Aisee raia wa Pakistani ni nouma, yaani baada ya ndege vita ya India kutunguliwa na rubani kutua chini, raia walianza kumtwanga kabla ya kuchukuliwa na kuwekwa kwenye mikono salama ya wajeda wa Pakistan. Video ipo kwa link hii hapa chini. Moment Indian pilot is savagely beaten by locals after...
  8. M

    Rais Durterte asema mapadri wa kanisa katoliki huwalawiti masista na watoto wadogo.

    Huko Ireland zaidi ya mapadri na makasisi 1,300 (elfu moja na mia tatu) walibaka na kulawiti Over 1,300 Irish priests accused of child sex abuse but only 82 convicted US group BishopAccountability.org claims 'hiding names of credibly accused child molesters puts children at risk' as it...
  9. M

    Rais Durterte asema mapadri wa kanisa katoliki huwalawiti masista na watoto wadogo.

    Hii ni habari ya jana tu 26 Feb, 2019 ikieleza kuwa ripoti iliyotolewa mwaka 2004 (miaka 15 imepita sasa, haijahisabiwa) na kanisa ilionesha zaidi ya mapadri na makasisi 4,000 (elfu nne) walibaka na kulawiti zaidi ya watoto 10,000 (elfu kumi) wengi wao ni watoto wa kiume. Halafu eti wewe msomi...
  10. M

    Rais Durterte asema mapadri wa kanisa katoliki huwalawiti masista na watoto wadogo.

    Na hapa mapadri na makasisi 300 huko Marekani pekee ktk daiyosis 6 walibaka na kulawiti watoto zaidi ya 1200 na kanisa likawa laficha, halafu unataka kuongopa eti ni padri 1! Catholic Church covered up child abuse by 300 US priests: report Pennsylvania grand jury details decades of abuse of...
  11. M

    Rais Durterte asema mapadri wa kanisa katoliki huwalawiti masista na watoto wadogo.

    Acha uongo Kulawiti na kubaka hakujafanywa na Padri mmoja. Hii ripoti hapa chini ktk jimbo moja tu la Marekani mapadri na makasisi zaidi ya 70 waliwabaka na kuwalawitiwa zaidi ya watoto 1000 Catholic Priests Abused 1,000 Children in Pennsylvania, Report Says Victims of clerical sex abuse and...
Back
Top Bottom