Recent content by Mangieli

  1. M

    Ushauri kwa UKAWA, njia pekee ya kuitoa CCM madarakani

    Tulia usikurupuke..UKAWA kuna watu wanafikiria kama mashine...miaka 200 ijayo! we tulia uone hii inchi inavochukuliwa na UKAWA kilaini.
  2. M

    Jaribio la kijeshi kumuondoa Rais wa Burundi madarakani

    We unaumwa....m/kiti wa kwanza wa ccm tangu enzi za chma kushika hatamu? Kajiongezea mara ngapi?? Mbona nchi ilikuwa safi tuuu
  3. M

    Jaribio la kijeshi kumuondoa Rais wa Burundi madarakani

    A Burundi army general says senior officers are "dismissing" President Pierre Nkurunziza, amid unrest over his bid to be re-elected to a third term. Maj Gen Godefroid Niyombareh announced that a national salvation committee had been set up to run the country. However, it is not clear how much...
  4. M

    UKAWA, mbona mpo kimya wabunge wetu kupewa mafao makubwa kiasi hicho mil 230 kila mmoja?

    Alafu haya magamba badala ya kusikitishwa na namna wanavyofilisi nchi...wanafurahia kuungwa mkono na cdm. wanatambua kabisa kuwa cdm ndiyo kioo chao cha kujitazama. Aibu kwa chama tawala kuongozwa na chama cha upinzani
  5. M

    UKAWA, mbona mpo kimya wabunge wetu kupewa mafao makubwa kiasi hicho mil 230 kila mmoja?

    Tusiwe tunajadili ndoto za mtu anayeota na kuzileta hapa...tujadilini facts. Mtu ameambiwa atoe ushahidi wapi cdm wameungana na ccm kuhusu posho hajasema...hapa tuajadili nini sasa. si ndoto za MAGAMBA na ACT jamani. We unadhani kwa nini CCM wanamuunga mkono ZITTO? Mtu yeyote anayekuombea njaa...
  6. M

    Majimbo yenye uhakika wa kuchukuliwa na UKAWA 2015...

    Babati Mjini kuna Gekul Paulina na Vijijini Kuna Tara UKAWA CCM kwaheri
  7. M

    Mafuriko makubwa yaikumba Dar es Salaam

    HII SERIKALI YA CCM INASHINDWA KUCHIMBA MITARO YA KUPITISHA MAJI HATA HAPO POSTA(ikulu) KUELEKEZA MAJI BAHARINI...BADO MNATAKA IENDELEE KUTAWALA NCHI. SHEM ON U
  8. M

    Mbowe achangia ujenzi wa nyumba 50 za wahanga wa mafuliko Jimbo la Hai

    Wananchi huwa wanawezeshwa siyo kugawiwa hela. Fanya kazi acha kuhesabu pesa za wanaume wanzotoa. Mfuko wa maafa wa kodi zetu umetoa ngapi?? Hadi unakuja kujadili hela ya mwanaume aliyotoa mfukoni?? Rc katoa ngapi? Dc katoa ngapi, wewe unayepayuka unatoa ngapi?? Mbona wewe unapeleka nyingi...
  9. M

    NCCR wapinga mgao wa Majimbo UKAWA

    Magamba at work na hayatafanikiwa............! Subiri octoba, wataamkia jikoni ndo wataamini wameshaliwa
  10. M

    TV gani itaonyesha live mechi ya Yanga na Waarabu leo?

    saa 3 usiku saa za africa mashariki
  11. M

    Hujuma dhidi ya mikutano ya ACT-Wazalendo

    Mwisho wa ubaya nia aibu. Hata huyu kiongozi wenu mkuu wa usaliti akicheza anaweza asirudi mjengoni......! Wote mnaoshabikia hiyo ngome ya wasaliti ndio ambao mlikuwa mnarudisha maendeleo yetu cdm nyuma. Bora muondoke wote sisi tuelekee ikulu.
  12. M

    Lema: Ikulu imenivua ubunge ; Ikulu yamjibu vikali

    Wat iz goin on Arusha jamani? Mkutano wa The Only Party!
  13. M

    Lema: Ikulu imenivua ubunge ; Ikulu yamjibu vikali

    Tutapambana hadi kieleweke, hatuwezi kuachia siasa iharibu nchi!
Back
Top Bottom