Recent content by Mangi Muitori

  1. M

    Serikali piga marufuku kujengea makaburi kwa zege za marumaru.

    Tatizo huujui ukubwa wa Tanzania hatujakalia hata asilimia 10 bado
  2. M

    Niliuliza jina la mfalme wa Palestina kabla ya 1948, hakuna alieweza ! Naongeza dau milioni 2 mtaje himaya ya wapalestina iliyokuwepo kabla ya 1948

    Tukubali Palestine ilikuwa chini ya Ottoman Empire na 1917 ikawekwa chini ya uangalizi wa UK. Sasa utampata wapi mfalme kabla ya 1948
  3. M

    Ilikuaje Jesca Magufuli aliyepata four ya 30 mwaka 2011 st Mathew akaruhusiwa kusoma Degree mwaka 2014?

    Ameajiriwa na Taasisi gani ya Serekali huyu binti? Mbona mara zote yupo ziarani?
  4. M

    Magufuli Pamoja na kuwa Waziri ila watoto wake wote aliwasomesha primary Kayumba. mzee aligoma Jesca kusoma shule za Mabasi ya njano

    Umasikini usikufanye udhani ukiteseka utaishi vizuri baadae. Unajifariji na umasikini eti baadae watauza maandazi
  5. M

    Magufuli Pamoja na kuwa Waziri ila watoto wake wote aliwasomesha primary Kayumba. mzee aligoma Jesca kusoma shule za Mabasi ya njano

    Kwa kif Upi umasikini upo kwenye damu yako, yaani unayoyaona wewe ndiyo maisha ni dalili zote za umasikini wa kipato
Back
Top Bottom