Usiharibu kura mkuu, we jipange tumpe kura huyu Jembe halaf hutajuta, watu wanamuhukum kwa makosa ambayo si yake, CCM ki msingi iko vizuri ila ilipata viongozi legelege na ndiyo maana tunaiona ilivyo, sawa pia yaweza kuwa imebadilika hata ki sera ila tunamchagua mtu hapa na si chama, kama...