1st AID
JF-Expert Member
- Jul 29, 2014
- 1,079
- 523
Jumamosi ukawa ufanye mkutano mpaka saa 12:40 kama walivyofanya wao
Wakifuata ushauri wako watakuwa wame-fit kwenye kauli za Mzee Mkapa! Revange is for the weaker!
Jumamosi ukawa ufanye mkutano mpaka saa 12:40 kama walivyofanya wao
Tunapowaambia NEC ni kitengo cha ccm mnakataa. Utamkemeaje babako? Angalia mkapa alivotukana hadharani juzi, umesikia nec wamesema chochote angalau kwa kujibaraguza?
Hawa si wa kuwafuata katka upumbavu wao Bali tuenende kwa ustaarabu.
Wamesema. Kama umewasikia hapo ndipo imetoka kauli blanketi: "NEC yaviasa vyama vya siasa kufanya kampeni za kistaarabu bila kutumia matusi wala vurugu ...". Hata Uhuru na Habarileo yamenukuu.