Acha ujinga ww mbona bara ccm walijitangazia ushindi kabla ya tume hawajatangaza na uchaguzi bado uliendelea haujazikwa?
Ubongo wako wa kufikiri unaonekana una nyufa katikati
Mh rais wangu wa jamuhuri yetu ya tanzania
Ninakuomba nenda bandari ya tanga uone maovu yanaotoka pale wanahujumu taifa kwa kupitisha mizigo bila kulipa kodi na wausika wa kuu ni watu wenye asili ya pemba na warabu hupitisha mizigo bila hofu
Msiishie bandari ya daresalama tu huku ni uozo mtupu...
Nyie hua mnamuona yule gwajima mzima kweli
Ni mtu anaeadanganya kondoo wake kila siku na wao ni kuitikia ndio kama vile vitoto vya bavicha wao nikusema ndio kamanda bila kufikiri neno hilo ni uongo au kweli
Dr mwaka ni mjanja mjanja sana
Niliona anasema anatibu magonjwa ya kina mama walioshindwa kupata watoto au kushika mimba
Lakushangaza dada yake mkubwa hadi leo uzee unamnyemelea ajapata mtoto sijui matibabu yamedunda yule tapeli
Nilimsikia mbowe alivyokua anahojia na mwandishi yule kwa kweli niliona kma vile kapoteza kumbukumbu
Unaweza kumtofautisha. Muhongo na lowasa?
Au mwakyembe na sumaye ujinga uluopitiliza ni nyumbu tu ndio anaweza kubaliana nae
Halotel kwa sasa nimtando bora kabisa mm kapuku najali kupata mawasiliano yaliobora tu
Hata network yake ipo bomba ni mtamdao umeenea vijijini zaidi kuliko mjini
Nawapa hongera kwa hilo
Hii ni changamoto kubwa kwa Tanzania kufikia malengo ya milenia ya kupunguza idadi ya watu wanaoishi katika umuasikini wa kupindukia ifikapo mwaka 2015. Ili malengo ya timie inatakiwa uchumi ukue kwa wastani wa asilimia 3.8 hadi 4.5 kwa mwaka, mpaka ifikapo 2015 Nimuhimu kutilia mkazo elimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.