Nimemwona huku jimboni Ulyankulu,akiwa ni mtia nia wa ugombea ubunge kwenye jimbo hili jipya lililogwanya kutoka jimbo la Kaliua mkoa wa Tabora.
Swali: Kusema sasa tayari ameacha kazi NECTA au ana likizo?
Nisaidieni maana naona sasa kama nafasi yake iko wazi mimi nipige jalamba!
kwanza nikupe pole mtoa post kwa kuonesha kuwa waalimu kama vile ni watu wa bei cheee.
kimsingi kazi ya uandikishaji ina changamoto nyingi sana na kuwalaumu waandikishaji ni kupoteza muda tu...
nakumbuka mimi kazi hii nimeifanya nikiwa kama Assistant Registration Officer ( ARO) kuna muda...
hahaha yaaani wewe unavyofikiri .....nadhani unashida fulani kwenye kichwa chako...
hivi unataka kuniambia ikulu ndo hufanya kazi ya kuandaa rais ajae?
eti alipewa ujenzi wa barabara ili wananchi waone kaleta maendeleo?
kwa kweli jf siku hizi ina watoto wa chekechea....sasa sio jukwaa la...
Wakuu Nina peving blocks za kijanja na bei nafuu pia cement blocks size zote
Kwa anayehitaji awasiliane nami kwa
0786582077
hmushi06@gmail.com
Niko Kaliua mkoani Tabora.........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.