Tafsiri ni kuwa kila ATM inahudumiwa na tawi husika. Sababu ya kuambiwa aende Mlimani city ni kuwa ATM ile inahudumiwa na tawi la Mlimani city. Sio mahali ulipofungulia Account mkuu.
Pensheni za April, Mei na Juni? Kumbe wanapewaga advance kabisa? Na huu mwezi si ndio ulikuwa na sikukuu wiki nzima? Mbona kama naona watu wanaonewa hapa......au ndio majungu ya kina NNSF na LAPF....anayejua mfumo wa pensheni wa PSPF hawezi ongea haya....nina mama nesi amestaafu....wenzie...
Kuna walimu wangu wawili wa mkoa wa Singida wamestaafu toka Oktoba 2014, mpaka leo hawajalipwa mafao yao. Hili shirika halina huruma hata kidogo, kumbuka wastaafu hawa hawana mshahara. PSPF ni janga kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.