Naomba kufahamishwa,
Km Rais wa Zanzibar ndie Kamanda Mkuu wa vikosi vya Zanzibar km KMKM,JKU,SMZ;
1.Je kuitwa vikosi sio kwamba ni majina tu kama kuitwa majeshi,pia vipi kuhusu mafunzo yaoyanatofauti ganina majeshi yetu,
2.Je huyo Kamanda Mkuu si ni sawa na amri jeshi katika vikosi vyake?
pia...