Recent content by mandomc

  1. mandomc

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Je hatuwezi badili mifumo ya magari toka mafuta kwenda gesi?
  2. mandomc

    CHADEMA jifunzeni kwenye Ziara ya Makamu wa Rais Kahama

    Leo mimi nimekutana na adha hiyo,yaani natoka singida kwenda Kahama,tulipofika Igunga mnadani tunasimamishwa eti kuna msafara wa makamo wa Rais na tumesimama kuanzia saa tano mpaka saa nane mchana ndo anapita
  3. mandomc

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Km pages zipi mkuu ili tufatilie na huko maana huku propaganda zinazidi kuliko uhalisia
  4. mandomc

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu kuhutubia Taifa tarehe 13/01/2023

    1.Pascal na wewe unakubali kufa kwa Tanganyika na kuzaliwa Tanzania bara wakati Zanzibar ikiwepo,tena ikiwa haijapoteza hata kimoja,maana ina;bendera,wimbo wa taifa na katiba yake? 2.Lisu alikimbia kwa sababu ya kuokoa maisha yake na ndo sababu alisindikizwa na mabalozi wa nchi za nje.
  5. mandomc

    KWELI Inawezekana kushiriki tendo la ndoa na mtu mwenye VVU/UKIMWI bila kinga na usipate Maambukizi hayo

    Lakini katika vipimo huchukua wastani wa mda gani virusi kuanza kuonekana
  6. mandomc

    KWELI Inawezekana kushiriki tendo la ndoa na mtu mwenye VVU/UKIMWI bila kinga na usipate Maambukizi hayo

    Ikiwa mwathirika anatumia dawa ipasavyo na ukashiriki nae tendo na mpaka mkapata michubuko,je matokeo yake yatakuaje? Je kwann asikuambukize wakat mmechubuana? Je toka virusi kuingia mwilini vitatumia mda gan kuanza kuonekana kwenye vipimo
  7. mandomc

    Zanzibar ni nchi huru au ni sehemu ya Tanzania?

    Naomba kufahamishwa, Km Rais wa Zanzibar ndie Kamanda Mkuu wa vikosi vya Zanzibar km KMKM,JKU,SMZ; 1.Je kuitwa vikosi sio kwamba ni majina tu kama kuitwa majeshi,pia vipi kuhusu mafunzo yaoyanatofauti ganina majeshi yetu, 2.Je huyo Kamanda Mkuu si ni sawa na amri jeshi katika vikosi vyake? pia...
  8. mandomc

    Zanzibar ni nchi huru au ni sehemu ya Tanzania?

    Oya mkuu p,hayo sio majina tu kua KMKM,JKU na SMZ lakim kimafunzo ni km majeshi yetu ya huku Tanganyika
  9. mandomc

    Baraza la Mawaziri kuvunjwa?

    Nadhani inawezekana,lakn inatakiwa avunje bunge lote na nchi iludi kwenye uchaguzi mkuu, mpaka na yeye mh. Rais akagombee upya kitu ambacho kwa nchi kama Tanzania sidhani km kinaweza tokea.
  10. mandomc

    Nini chanzo cha Kocha Nabi na Kaze kupigana?

    Vp mlioitwa "yanga nzima wenye akili timamu ni wailing tu" Au hukumbuki tukukumbushe
  11. mandomc

    Kwa hili shambulizi Ukraine kuingia gizani mazima

    Libyia alichafua usalama wa jilani gani?
  12. mandomc

    Vikwazo vya uchumi kwa Russia

    Kwani russia sio wazungu, pia na wao wanayo plan B
  13. mandomc

    Nakubaliana na Rais Putin kwamba huwezi kujua kuwa unatawaliwa kama hujawahi kujitawala!

    hua napitapita kila siku ndani ya jukwaa hili, lakini hua nasoma maoni ya wachangiaji na kwa kiasi kikubwa,wachangiaji wengi wameegemea upande wa ushabiki kwa kusoma propaganda za kila pande kuhusu vita hii, lakini pande zote kueni na akiba ya maneno, mwisho wa vita hii yanaweza toka majibu...
  14. mandomc

    Ndiyo kusema Tanzania imejiunga kwenye Umoja wa Nchi za Kiarabu kimya kimya?

    Je kwa risasi na mabomu ya Congo nayo ni kwa sababu ya nini? Au nako wanaeneza dini gani?
Back
Top Bottom