Recent content by mandolo

  1. M

    Naomba kujua mchango wa Wamisionari katika maendeleo ya elimu Afrika

    Hoja hii na kitabu/chapisho lake imekaa kinafiki na kidini zaidi na wala haina mashiko, kama wewe una miliki shule na mimi namiliki ya kwangu iko wapi logic ya kulalamika kuwa eti shule yako unaiendesha vizuri kuliko ya kwangu? Kama issue ni ufadhili toka kwa mkoloni, Waarabu walikuwa watawala...
  2. M

    Naomba kujua: Gharama za convoy ikipiga kambi Chato nani analipa?

    Huo umati unafikiri una kula na kulala kwa gharama ya nani nje ya vituo vyao vya kazi?
  3. M

    Tukiacha siasa shule za kata kuwa kama St. Francis Girls Mbeya

    Huyu mwanafunzi asiyefanya mitihani ni mwanafunzi au mvuvi wa dagaa. Mbona hata University wanachuja? Ni shule gani isiyopima wanafunzi kwa mitihani? Usiwe na wivu. Shule za kikatoliki zinafanya vizuri hilo liko wazi
  4. M

    Chuo cha Usafiri wa Anga kutoa mafunzo ya urushaji drones kwa ada ya Tsh. 1,980,000 yatayoweza kuomba leseni ya urushaji TCAA

    Yaani kurusha tu ndo iwe gharama yote hiyo? A mere UAV platform flying ndo kuwe na gharama zote hizo? Kwanza kurusha huko ni kwa ajili ya kupata nini, kusafirisha mizingo, UAV photogrammerty, au kuchukua picha kwa ajili ya waandishi wa habari? Gharama hii inacover data processing and analysis...
  5. M

    Umoja wa Ulaya (EU) watoa msaada wa bilioni 84 kwa Tanzania kuisaidia kusambaza umeme Vijijini na kwenda Zambia

    Leo mabeberu mnawaita wafadhili eti ee. Kweli mafiesm hamnazo
  6. M

    GE2020 NEC: Tulifanya uteuzi wa wabunge wa viti maalum baada ya orodha ya majina hayo kuwasilishwa na Katibu Mkuu wa CHADEMA 19 Novemba 2020

    Wekeni hiyo barua hapa tuione, tuichambua validity yake isije ikawa kama hadithi za hati ya muungano kipindi kile cha bunge la katiba
  7. M

    Kwamba kuapishwa kwa wabunge 19 viti maalumu CHADEMA, chama hakijashiriki kufanya uteuzi sawasawa na sheria zinavyotaka. Nini maana yake hasa?

    Siku zote mwizi huacha alama ambayo hata yeye baadae hushtuka na kuanza kujilaumu, "Ayaaa, nilisahauje tena?'' Hili la huyu dada aliyekuwa gerezani limewaumbua na kuweka wazi kila kitu.
  8. M

    Kauli Kinzani; Mtoaji Mkuu Misaada na Mpokeaji Mkuu

    Sogea kwenye kaburi la Mgabe kamuulize kuondolewa kwake madarakani kulitokana na nini, naye atakuambia ni wananchi wakishirikiana na majeshi hayo hayo ambayo unasema hawawezi kukosa mkate
  9. M

    Prof. Kabudi aieleza Jumuiya ya Kimataifa kuwa Tanzania haijawahi kushindwa vita ya aina yoyote

    Hawa ndo chanza cha lindi kubwa la incompetent lawyers product ya UDSM. Majigambo haya hayana tofauti na vichekesho vya tajiri la Kigoma, wa kukurupuka ,yule jamaa wa Futuhi Star Tv.
  10. M

    GE2020 Viongozi wa CHADEMA hatua mlizochukua zitawatia aibu kubwa

    Unatengeneza clip ambayo maaskari polis wakionekana humo kwa utambulisho wa sura na namba zao za kazi. Halafu polis hawa wa kwetu wenye inteligensia kali ya kunasa wakuaje hivi hivi? Kweli akili za mafiem anajua tuzitwist yule bwana anayeitwa Harakaharaka wa pale Lumumba. Kuweni na hata chembe...
  11. M

    Lissu: Naishi kwenye makazi ya balozi(Ujerumani) kwa sababu maisha yangu hayako salama, nitarejea Ubelgiji

    Upupu. haya nenda kwa harakahara, mwambie tayari umefanya kazi akupe buku saba. Huna hata aibu, huo haukuwa uchaguzi, wizi wa kura mioufanya umeondoa hadhi yenu hata ile kidogo iliyokuwa imebaki. kila mtu anajua mmepora haki ya watu kuchagua.
  12. M

    Siri ya Marekani kuingilia Uchaguzi mkuu wa Tanzania

    Tell your fake author to discard that unprofessional analysis (some scholars used to term as professorial rubbish) at Lumumbe next to Harakaharaka office
  13. M

    GE2020 Balozi wa Japan ashangazwa na ubadhilifu Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

    Baada ya kushiba ugali na maharage unasumbua sumbua humu eti, unasahau ukiumwa hata malaria tu pale Sinza hospitali unakutana na jengo lililojengwa kwa msaada wa Japan/Korea, Magari ya wagonjwa USAID/UKAID, Ukienda Mwenge unakutana na Wajapan Wakijenga Barabara kwa hela yao(Msaada). Hicho...
  14. M

    GE2020 Ikulu ya Marekani: Tutapitia tuhuma na kuwawajibisha wanaohusika na ukiukwaji wa Haki za Binadamu Tanzania

    Wewe hauko sawa, Iran juzi hapa walikuwa wanalia na kuomba sanctions ziondolewe, na wewe unaibuka na utopolo na bakuli lako mkononi ukiomba msaada kwa hao hao. Yule generali wa Iran aliuliwa na watu gani vile! US ni taifa jingine mkuu likiamua leo hao mliwapandikiza kwa kura feki hawezi kukaa...
  15. M

    Mbunge Mteule wa Nkasi Kaskazini, Aida Khenan (CHADEMA) atoa tamko kuhusu ushindi wake

    Hata aibu huna, hayo makaratasi (mnayoyaita ya kura ) aliyopigwa na huyu Harakaharaka wako pale Lumumba na mengine yakadakwa na kuzagaa mitaani, akina mama wakiyafungia vitumbua ndo wewe unayaita maamuzi ya wengi? Tuna taarifa zote za kulazimishwa kwa walimu (waliosimamia huo uchafuzi) kupitisha...
Back
Top Bottom