Don't be daft. Chuo Kikuu cha Waislamu kimejengwa na Benjamin William Mkapa, Mkiristo, kawanyanganyaTANESCO shule ymao ya Engineering pale Msanvu Morogoto. Naona wewe ni mbux3 hujui mambo. Njoo ofisini pale Faya nitakupa kitabu cha Mohamed Said. Unajua Kiingrezq? Kinaitwa THE LIFE AND TIMES OF ABDUKWZHEED SYKES. Kinaeleza jinsi gani Agha Khan alitaka kutuuzia mbuzi guniani kama alivyovunja India na Pakistan ila Wazee wetu Waislamu wakakataa. Hujui historia, kama kimya.LGF,
Unazungumza jambo usilolijua.
EAMWS leo tena si muhimu kwa Waislam ila kueleza ule ukweli kuwa ilikuwa inajenga Chuo Kikuu na hili halikutakiwa ndiyo yakapitishwa yaligopita.
Nipe Dunihaji.