Recent content by Mando mc

  1. M

    Ujasusi - Umoja namba 97

    Kiukweli tume - enjoy sana na season one,pia natumai itakua hivyo hata kwa season two,lakini pia utaanza kuweka lini mzigo? Na mwisho hongera kwako kwa kutuletea mzigo wa maana kama huu.
  2. M

    Ujasusi - Umoja namba 97

    Poa mkuu lete maana tuna alosto
  3. M

    Ujasusi - Umoja namba 97

    vp kuhusu mwendelezo mpaka mda gan? pia nilikua na ombi kwako la angalau uwe unatupia hata vipande 4 badala ya vi3. kitu ya ukweli sana mkuu
  4. M

    Jumba bovu la Rais Samia sasa liko hapa

    kwanhni kama mada umeona haina ukaacha kuchangia kuliko ulichocgangia au ukapita kimya kimya!!
  5. M

    Ujasusi - Umoja namba 97

    Leo vp hatuoni mwendelezo
  6. M

    Ujasusi - Umoja namba 97

    Hongera kwako mtunzi lakini vipi kuhusu mwendelezo lini mkuu na ni saa ngapi maana hii kitu isije kutuacha na alosito
  7. M

    Ujasusi - Umoja namba 97

    Mwendelezo lini na saa ngapi mkuu
  8. M

    Ujasusi - Umoja namba 97

    Mkuu saa kumi na moja ndo hii,shusha mzigo tupunguze alosito
  9. M

    Ujasusi - Umoja namba 97

    Write your reply...inaonekanza nzur tatzo itafika mwisho ndo watu tutabaki na alosto tu. Alaf itaendelea lini na mda gani?
  10. M

    Jenerali Mabeyo, unayasikia yasemwayo na makomandoo wetu mahakamani kwenye kesi ya Mbowe?

    Kwenye mkutano wa JWTZ na vyombo vya habari walisema jeshi haliajiri lakini linaandikisha,kama hujaajiriwa na umeandikishwa tu ndo chanzo cha kutelekezwa. lakini jwtz kutelekeza komando haijakaa sawa. pia komandoo kukamatwa/kutekwa kama kuku kuna siku hao polisi watapata wakinachokitafta, hebu...
  11. M

    Dotto Biteko ni janga lingine, Rais Samia chukua hatua jamaa ataimaliza nchi

    Kuna mwanasiasa mmoja aliwahi kusema: "kama tutaanza kunyosheana vidole kua huyu kafanya hiki na yule kafanya hiki! Je ni nani mwana CCM msafi?" Asubuhi J.Makamba na UMEME, Mchana D.Biteko na MADINI Usiku nani yule...aahy wa MAJI Kesho wa mazingira... bado machinga, yule anasema S.Siro na vijana...
  12. M

    Godbless Lema amtakia safari njema Dotto Biteko Wizara ya Madini

    Anayesa Doto na Kulwa ni BAHIMA,akawaulize watu wa kijiji cha Nyaruyeye kama ni kweli au hakuwahi kumsikia mbuge wa zamani wa Busanda aliyeitwa Kabuzi
  13. M

    Mnoifahamu Katoro, tafadhali nijuzeni kuhusu Ukuaji, Maendeleo na Matarajio

    Hakuna umbali ,unaweza kwenda kugongea sigara buseresere na ukaludi kuvutia katoro, Hakuna umbali kwa kifupi
Back
Top Bottom