Recent content by MANAGER DOCTOR WENGER

  1. MANAGER DOCTOR WENGER

    JamiiForums Tanzania Wazanzibar waelekezwa kuachana na kitambulisho cha NIDA, waambiwa watumie cha Mzanzibar Mkaazi

    Kwani we ukitoka nje ya nchi ukiwa unarudi bongo huwa uonyeshi kitu Yani nikufika na kuingia tu mkuu
  2. MANAGER DOCTOR WENGER

    JamiiForums Tanzania Wazanzibar waelekezwa kuachana na kitambulisho cha NIDA, waambiwa watumie cha Mzanzibar Mkaazi

    Kaka mfano wa UAE unaingiaje hapa? Huko unaenda kwa passport, je Zanzibar unaenda kwa passport mkuu? Yule mbunge alisema hivo alidai nida wengi hawana unaleta usumbufu, ni kheri watumie vitambulisho vya Zanzibar mana wanavyuo Sasa hapo kaonyesha ubaguzi gani mkuu? Shida tunakuza sana mambo...
  3. MANAGER DOCTOR WENGER

    JamiiForums Tanzania Wazanzibar waelekezwa kuachana na kitambulisho cha NIDA, waambiwa watumie cha Mzanzibar Mkaazi

    Madereva kibao wa smz wabara, Hilo halisemwi sio vizuri wakuu
  4. MANAGER DOCTOR WENGER

    JamiiForums Tanzania Wazanzibar waelekezwa kuachana na kitambulisho cha NIDA, waambiwa watumie cha Mzanzibar Mkaazi

    Una shida mkuu naomba nikuwache, kwa hiyo kauli za polepole alozokua anazitoa zilikia ni kauli za WATZ wote?
  5. MANAGER DOCTOR WENGER

    JamiiForums Tanzania Wazanzibar waelekezwa kuachana na kitambulisho cha NIDA, waambiwa watumie cha Mzanzibar Mkaazi

    Huyo alieongea Hana mamlaka yoyote, alikua waziri akajiuzuli tangu kipindi hicho anawashwa na hasira, za kukaa njee ya mfumo, huyo alijiuzuru Ile inshu ya pombe kuadimika zenji ka sikosei, alafu mwinyi nae amemkaushia hajanuita kwenye baraza la Sasa chuki zikaanzi a hapo, usipotoshwe chunguza...
  6. MANAGER DOCTOR WENGER

    JamiiForums Tanzania Wazanzibar waelekezwa kuachana na kitambulisho cha NIDA, waambiwa watumie cha Mzanzibar Mkaazi

    Lakini mi huwa najiuliza kwani Zanzibar hakuna watanganyika wanao vuna mali za Zanzibar? Ebu tuacheni chuki wakuu, mi nimeishi sana kule enzi hizo kwenye sekta ya ujenzi walioajiriwa kuanzia engineer mpaka vibarua asilimia90 ni wabara asilimia 10 tu ndo wazenji,. Acheni kuhamasisha chuki wakuu...
  7. MANAGER DOCTOR WENGER

    JamiiForums Tanzania Hivi Juma Nature ana umri gani? Mbona hazeeki

    Tangu nimeanza kumsikia juma nature enzi hizo alikua mbaba eti mpaka Leo bado yupo vilevile
  8. MANAGER DOCTOR WENGER

    JamiiForums Tanzania Leo nimetimiza umri wa miaka 35, nishauri chochote

    Poa akizingua nifikirie basi hata wewe, SI unajua tena, tunaishi mara moja mkuu
  9. MANAGER DOCTOR WENGER

    JamiiForums Tanzania Leo nimetimiza umri wa miaka 35, nishauri chochote

    Nimempata member humu anaitwa aizat sina hakika kama atanikubali, sinaga swaga kabisa
  10. MANAGER DOCTOR WENGER

    JamiiForums Tanzania Leo nimetimiza umri wa miaka 35, nishauri chochote

    Huo ni mtazamo wako, wenzako wenye mapango na milango ya Hormuz hawaelewi hilo,
  11. MANAGER DOCTOR WENGER

    JamiiForums Tanzania Leo nimetimiza umri wa miaka 35, nishauri chochote

    Hata Kama sina nguvu za kiume?
  12. MANAGER DOCTOR WENGER

    JamiiForums Tanzania Leo nimetimiza umri wa miaka 35, nishauri chochote

    Hahahaaaaa, nenda geita ukashangae kijana ana 27, ana miliki gari crown ana nyumba ya zaidi ya milioni 150 thamani, ana maduka matatu, benki kumedamshi, muwe mnatembea nje huko muone vijana walio amua kuishi nje ya dar wanavo make pesa
  13. MANAGER DOCTOR WENGER

    JamiiForums Tanzania Leo nimetimiza umri wa miaka 35, nishauri chochote

    Hata kama mke ana cheat?
  14. MANAGER DOCTOR WENGER

    JamiiForums Tanzania Leo nimetimiza umri wa miaka 35, nishauri chochote

    Safi sana mshana jr we huwa ni mkweli
  15. MANAGER DOCTOR WENGER

    JamiiForums Tanzania Aisee utajiri sio kitu rahisi kumbe

    Huwa ninapambana kwa juhudi nyingi nipate cha kunitosha, kile kinacho ongezeka kinakua ziada alihamdulillah lakini lengo si kutajirika, ikitokea mashaallah, ukipenda sana mali utajikuta unafanya mambo ya ajabu hata kuliwa utamu na wahuni.
Back
Top Bottom