Recent content by MANAGER DOCTOR WENGER

  1. MANAGER DOCTOR WENGER

    Niki wa Pili ameshow love kwa Binti yake mzuri

    Hawaja rudiana ameenda kumuona mwanae tu kwa ajili ya happy birthday
  2. MANAGER DOCTOR WENGER

    Inasemekana kuna showroom ya magari MIKOCHENI imeungua moto je ni kweli?

    Video ninayo nikiiweka hapa inagoma, sijui kwa nini
  3. MANAGER DOCTOR WENGER

    Niki wa Pili ameshow love kwa Binti yake mzuri

    Mkuu hapa tunaongelea bachelor au mtoto wake waliosema si wake
  4. MANAGER DOCTOR WENGER

    Inasemekana kuna showroom ya magari MIKOCHENI imeungua moto je ni kweli?

    Inasikitisha sana haya mambo yasikie kwa watu tu, nimefanya bizness nayajua
  5. MANAGER DOCTOR WENGER

    Inasemekana kuna showroom ya magari MIKOCHENI imeungua moto je ni kweli?

    Hapana bhana sizani kama ni Abdul ni maneno tu ya watu mkuu, unakumbuka sheli za lake oil zili zushiwa ni za jk kumbe masikini ally awadh
  6. MANAGER DOCTOR WENGER

    Niki wa Pili ameshow love kwa Binti yake mzuri

    Niki ameshow love kwa Binti yake zuri, nakum wish happy birthday, wale mnaosema kachapiwa mtafuteni aliemchapia nick wa pili aende akamchukue mwanae. Wabongo bhana kwa kukuza, wape picha maneno wanayo, jamaa YUKO na mwanae na alie kuwa mpenzi wake na maisha yanaendelea watu kimya.
  7. MANAGER DOCTOR WENGER

    Inasemekana kuna showroom ya magari MIKOCHENI imeungua moto je ni kweli?

    Nishazeeka nasikia tu stori sijui kitu wakuu, ninesikia Kuna mtu katajwa nikashtuka, inasemekana ndo mmiliki ila matatizo haya, sijafurahishwa, sababu naijua biashara inavo vuruga unapo pata hasara kama hizi
  8. MANAGER DOCTOR WENGER

    Mtandao wa JamiiForums kuleta feature mpya kuzuia Utapeli

    HAPANA MTANIKIMBIZA HUMU KIUSALAMA SIO SAHIHI LABDA KAMA MTARUHUSU WATU WATUMIE ID ZAIDI YA MOJA UJINGA KABISA HUU NA UPUUZI NDO MANA WASOMAJI WENGI KULIKO WACHANGIAJI MTU AKOMENTI MAMBO MAZITO NA YUPO GROUP LA MWANZA HUONI HATARI HIYO? NAPINGA HUU UJINGA TENGENEZENI GROUP ILA MRUHUSI ID TOFAUTI...
  9. MANAGER DOCTOR WENGER

    Jamiiforum ni mtandao mgumu sana kukua au kukukuza

    Ni kweli hatujawahi Fanya biashara ila SI ni kweli ulikua unauza vitu hapa mkuu, au nimekusingizia
  10. MANAGER DOCTOR WENGER

    Jamiiforum ni mtandao mgumu sana kukua au kukukuza

    Kwanini uuze kitu bila kuwa na ofisi, kikiwa kibovu tutakukamatia wapi?
  11. MANAGER DOCTOR WENGER

    Kupata mabilioni ukafanyie biashara sio lazima uwe na dhamana, ji brand tu

    Samahani mkuu hiyo ni faragha yangu, sorry for that, chaoow🙏
  12. MANAGER DOCTOR WENGER

    Jamiiforum ni mtandao mgumu sana kukua au kukukuza

    Nilikua nakuheshimu vizuri tu, ila ulivo anza kuuza mara pasi mara fridge, alafu ukiulizwa ofisi yako ipo wapi uko ulaya, unaleta stori, nikajua tu huyu WINGA
  13. MANAGER DOCTOR WENGER

    Kupata mabilioni ukafanyie biashara sio lazima uwe na dhamana, ji brand tu

    Nimeona Uzi wa jamaa humu, kaenda kukopa b 3 ilihali yeye ni mlala hoi tu. Sio kesi ila, nimeshangaa watu kumpuzia na kumdharau, sio sawa, mtoto wa mjini kukopa pesa huitaji kiwanja wala mali yoyote, unacho hitaji ni kujibrand tu bhaaaaassssshhhh. Yule zungu, wa kipaza sauti, alienda Oman...
  14. MANAGER DOCTOR WENGER

    Jinsi nilivyokosa mkopo wa Tsh. Bilioni 3 benki na niliyojifunza

    Mkuu kupewa pesa, sio mpaka uwe na dhamana mali wewe, ki brand tu kwisha
Back
Top Bottom