Niki ameshow love kwa Binti yake zuri, nakum wish happy birthday, wale mnaosema kachapiwa mtafuteni aliemchapia nick wa pili aende akamchukue mwanae.
Wabongo bhana kwa kukuza, wape picha maneno wanayo, jamaa YUKO na mwanae na alie kuwa mpenzi wake na maisha yanaendelea watu kimya.
Nishazeeka nasikia tu stori sijui kitu wakuu, ninesikia Kuna mtu katajwa nikashtuka, inasemekana ndo mmiliki ila matatizo haya, sijafurahishwa, sababu naijua biashara inavo vuruga unapo pata hasara kama hizi
HAPANA MTANIKIMBIZA HUMU KIUSALAMA SIO SAHIHI LABDA KAMA MTARUHUSU WATU WATUMIE ID ZAIDI YA MOJA UJINGA KABISA HUU NA UPUUZI NDO MANA WASOMAJI WENGI KULIKO WACHANGIAJI MTU AKOMENTI MAMBO MAZITO NA YUPO GROUP LA MWANZA HUONI HATARI HIYO? NAPINGA HUU UJINGA TENGENEZENI GROUP ILA MRUHUSI ID TOFAUTI...
Nilikua nakuheshimu vizuri tu, ila ulivo anza kuuza mara pasi mara fridge, alafu ukiulizwa ofisi yako ipo wapi uko ulaya, unaleta stori, nikajua tu huyu
WINGA
Nimeona Uzi wa jamaa humu, kaenda kukopa b 3 ilihali yeye ni mlala hoi tu.
Sio kesi ila, nimeshangaa watu kumpuzia na kumdharau, sio sawa, mtoto wa mjini kukopa pesa huitaji kiwanja wala mali yoyote, unacho hitaji ni kujibrand tu bhaaaaassssshhhh.
Yule zungu, wa kipaza sauti, alienda Oman...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.