Habari za majukumu wadau,
Naomba msaada wa yard ambazo zinauza gari aina ya Toyota Platz hapa Dar na average price yake. Nimezunguka baadhi sijaziona.
Natanguliza shukrani
Mkuu khetewesa ndo kwa mara ya kwanza mm nakusikia kwamba umeapply utumish haujaitwa mm najua siku zote utumish ukiapply na una vigezo vyote hasa original certificate zote lazima uitwe mkuu ,labda kama upo kwenye taasisi ya serikali kwa mkataba na haupitishi barua kwa mwajili kama wanavyotaka...
Ulikotondo mkuu usilete matusi au ubaguzi kwa kusema graduates wa udsm wakati udsm kuna kozi nyingi hata wengine bana hawamjui wanamsikia tu yy ni Dr wa political science so usipende kugeneralize
Kijana shukuru Mungu acha mbwembwe kwani hiyo post iliinvolve pia watu.wa dgree naona unaonyesha umwamba sidhani kama IT assistant inahitaji degree kama si diploma pekee acha misifa isiyo na msingi degree ni degree tu coz hata salary yako na wao ni tofauti
kAMA UNA MUDA WA KUTOSHA UKITOKA KAZINI NENDA KAFANYE MAZOEZI MAZITO UKITOKA HUKO HAUTAWAZA HUO UJINGA AU UKISHINDWA FUNGULIA REDIO AU SUBWOFFER KWA WASTANI HAUTAWASIKIA HATA
Its true nimeshangaa kuona magazeti yanasomwa kuanzia ukurasa wa tatu badala ya kurasa ya kwanza inasikitisha kuona wananyima watu uhuru wa habari na kuna magazet mengi kweli hayasomwi tbc mfano mwananchi sijaliona kabisa likisomwa
Tatizo ni hizo course zenu watu wanakua wengi sana ndo maana unaweza kupata banda ila wakaanzia 90 kuchukua marks inategemea na idadi ya watu wanaowahitaji kwa wakati husika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.