Hawa watu wamezoea kufanya kazi kwa kudekezwa kwan kama Rais na PM walikuwa hawawajali wanyonge unafikiri haya majeshi yangewaheshim? Mahindi yanakaa miez 3 had 4 yanavunwa kwann kutumia nguvu nyingi kuliko akili! it is shame on zem! JPM piga chini hawa wana vyeti feki.
Mzee malecela yuko sawa, kwani jana mgeni rasmi haikueleweka ni nani pale tu tuliye mdhani ndiye kushindwa kujieleza na kumkaribisha kingunge ili kutoa mchanganuo wa sera zake.
Tzania imeisha! hata ww ambaye uko nje ya utawala wa chama chako unaonesha jinsi gani ulivyo na ufinyu wa jinsi gani ya kutatua migogoro kwa wapiga kura wako. Badala ya kuelewa kwamba watu wanadai haki zao unakimbilia kulaumu chama pinzani, jitahidi kutumia maarifa kidogo uliyonayo kwani huu...
tusiendelee kumulaum pr. kikwete kwan watu aliobaki nao kwenye uongozi wake huyu AG ndo mwenye unafuu. tumuacheni amalizie kwani huo ukilaza kila mtu anauona ni aibu kwa taifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.