Recent content by Man peace

  1. M

    Mpaka soko liitwe soko mjinga linakuwa na sifa gani

    Ukifika chuo cha mifugo hapa tengeru Arusha utalikuta soko mjinga
  2. M

    KERO Barabara ya Tengeru Sokoni kuelekea chuo cha TICD na Chuo cha Mifugo ni mbaya sana

    Jamii, hii Barabara inayotoka Tengeru sokoni kuelekea Chuo cha maendeleo ya jamii na Chuo cha mifugo (LITA) Tengeru NI mbaya Sana, viongozi hebu tupieni jicho hii barabara inatesa Sana Kwa kweli.
  3. M

    Watanzania Wakesha Makanisani Wakibubujikwa Machozi Kumuombea Heri Rais Samia

    Lucas mwashambwa naomba namba YAKO pls.
  4. M

    English Medium ziko Ovarated sana. Hakuna elimu pale zaidi ya utapeli. Shida ni tumekuwa Brainwashed sana

    Wazazi, mnashirikiana na shule kuwatesa watoto. Vitoto vyenyewe bado vidogo, miaka 11-13, vinaamshwa saa 10 au 11 alfajiri kuwahi shule. Wanawahi nini exactly? Na bado watakaa shule mpaka saa 12 kisa remedials, kurudi nyumbani saa 1 jioni.. mtoto anafika hoi, hajiwezi, hajacheza, hajafanya...
  5. M

    KERO Barabara ya kutoka Tengeru kuelekea Chuo cha mifugo(LITA), Chuo cha maendeleo ya jamii (TICD) ni kero

    Jamani barabara ya kutoka Tengeru kuelekea Chuo cha mifugo(LITA), Chuo cha maendeleo ya jamii (TICD) ni mbaya Sana. Hii ni barabara muhimu Sana kwani inaenda kwenye taasisi muhimu za serikali. Pia husaidia wakazi mbalimbali kuleta bidhaa zao hasa siku za soko la Tengeru jumatano na jumamosi...
  6. M

    Nikinunua umeme kisha nikaingiza Token, inaandika "error 77 na Token haziingii

    Bonyeza zero then namba za Mita tena bonyeza zero ukifuatia namba za Mita afu malizia ok.itakubali
  7. M

    Uhamiaji ni jeshi au idara ya kawaida?

    Na jeshi la uhifadhi je?
  8. M

    Serikali imechelewesha mishahara au haina pesa?

    Kwenye app Ni free
  9. M

    Kuna anayetumia GB WhatsApp anipe mrejesho?

    Ni Mimi Tu nimepatwa na madhila ya GB watsap au nanyi wenzangu
  10. M

    Muda wako ndio kipimo cha maisha yako

    Asante Kwa meseji nzuri.
Back
Top Bottom