Recent content by Man Jau

  1. Man Jau

    Secret of hands spiritually (siri ya mikono kiroho)

    Asa tunaosalimia vigagula kila siku mjini...daah
  2. Man Jau

    Prof. Abdallah Safari: Kiswahili sio lugha Taifa kwa mujibu wa sheria, tunatumia kimazoea tu

    Mh, mbona nilisikia kuwa lugha rasmi ni kiswahili na kiingereza? Na kiswahili kuwa lugha ya taifa nilisikiaga tangu nikiwa mtoto mdogo
  3. Man Jau

    Ili Tuweze Kutatua Matatizo Yetu Kama Taifa, Tunatakiwa Kujenga Utamaduni wa Kusema Ukweli

    Mnalaumu ngazi za juu wakati ngazi za chini kabisa watu hawasemi ukweli alafu ni kawaida tuu. Mahusiano yamejaa uongo, familia zimejaa uongo, kazini uongoo, biashara uongo Hadi wizi, Kila sekta uongo Hadi kwenye Imani, uongo ni pie everywhere. Alafu mnataka wakubwa au viongozi waseme ukweli...
  4. Man Jau

    Kuifuta CCM sio kuondoa matatizo ya taifa hili. Hiyo ni propaganda yenye uongo Mkubwa

    Hivi mnajua kuwa Kenya Ina katiba mpya lakini maisha Yao ni close to worst? Katiba sidhani kama itasaidia kuondoa tatizo. sanasana itawapa watu uhuru WA kuandamana ovyo, na au mbinu mpya za mabepari kufanya Yao..zaidi...na zaidi..na zaidi.. Natamani tujitafakari wote taifa zima kabla ya hata...
  5. Man Jau

    Kuifuta CCM sio kuondoa matatizo ya taifa hili. Hiyo ni propaganda yenye uongo Mkubwa

    Na hata wanaolaumu dini na Imani nawashangaa kwa sababu tunahubiriwa Kila siku tusitende dhambi tunazopenda kufanya lakini hatusikii..sanasana zinatunogea balaa.. Tumeshafkia kipindi kuwa tunachagua madhebebu na nyumba za ibada ambazo tunataka kusikia mahubiri fulanifulani pekee na sio ukweli...
  6. Man Jau

    Kuifuta CCM sio kuondoa matatizo ya taifa hili. Hiyo ni propaganda yenye uongo Mkubwa

    Haya yote wanapaswa kujifunza Gen Z wote, Millennials na vizazi vingine vyote vilivyopo nchini na vinavyokuja. Umeelezea Kila kitu kuhusu uzalendo Ina a simpler, clearer and a smarter way possible. Hakuna kumlaumu mtu, ila tupo kwenye changamoto kubwa sana, na tukizembea zaidi kushabikia...
  7. Man Jau

    Tunakoelekea: Kama viongozi wa dini hawasikilizwi na waumini wao, basi viongozi wa kisiasa wajiandae kisaikolojia

    Sikuhitaji maelezo ya mtoa post, ila nashukuri, at least yamenipa kuelewa kwa ufupi juu ya jamii yangu. The thing is, title na kinachoongelewa ndani sidhani kama vime correlate....au labda kama unaendelea kutoa maandiko mwengine ya ku support hoja Yako. Mambo yenu yaa ukabila mtajuana wenyewe...
  8. Man Jau

    Tunakoelekea: Kama viongozi wa dini hawasikilizwi na waumini wao, basi viongozi wa kisiasa wajiandae kisaikolojia

    Simtetei, ila nadhani anaandikia nafasi ya kwanza umoja na anaipendelea katika kufikidha ujumbe, na surprisingly, amefanya vizuri, binafsi nimemuelewa. Sijajua kama anaandikaga vitabu, means atakuwa a bit more intellectual. Sipendeleagi sana kusoma vitabu, ila nadhani nitatafuta ili na mie...
  9. Man Jau

    Kuna ombwe juu ya chanzo chetu na ulimwengu!

    Broo, hapa kuna mengi kuliko tunavyoelewa. Kristo amefanya vitu ambavyo ni vigumu kufanyika kwa kiumbe chochote kile duniani...na ndio maana anapata special treat. Kwa uelewa wa Neno la Mungu, linatakiwa kuwa na maarifa ya kungamua. Mfano umasikini umefanyika kwa mwanadamu kama laana. So...
  10. Man Jau

    Kuna ombwe juu ya chanzo chetu na ulimwengu!

    Unajua unaowaita atheist wa kichina nyuma yake kuna nani? Unajua maana ya dragon wanaemtumia kwenye tamaduni zao? Nenda kamsome kwanza dragon wanaemtumia kwa undani, chimba zaidi ujue foundation yake na jinsi alivyossmbaa kisha kasome Ayubu 41 yote...then linganisha...uone utapata nini...
  11. Man Jau

    Kuna ombwe juu ya chanzo chetu na ulimwengu!

    Ukijadili haya, usisahau kuwa kuna suala la dimensions, na kuna mengine tuu kuyaelewa ni shughuli kwa sababu yanatuzidi. Mpaka sasa mwanadamu aliepo duniani hawezi kufahamu yote ya 4th dimension, as well as higher ones...so ni ngumu kujua kuhusu origin. Zaidi zaidi tunadanganyana tuu
  12. Man Jau

    Maono haya hapa JF yametimia, Yajayo ni ushindi

    Ndoto yako ya kwanza ni clearer zaidi kuliko hii ya pili. Hongera kwa maono, chochea karama yako kimaombi ili angalau ikufikishe mbali zaidi..
  13. Man Jau

    Kuwa wa kiroho (Spirituality)

    Watu wanaanudishwa maibada ya ajabuajabu siku hizi pasipo kujua na maroho unayotaja, na yapo mengi sanaaaaa
  14. Man Jau

    Utatu ni wa majukumu si mamlaka. Yesu ni Mungu lakini si Mkuu kuliko Baba

    Asa uhatakiwa kutoa hoja, hata ya maandiko yako unayoyaamini...na sio kusema hearsays na speculations...mbona mwenzio amefafanua kea hoja za iamni yake na tumemsoma vizuri tuu
Back
Top Bottom