tumia akili wewe ana msuport magufuli wakati aliomba kwa mungu magufuli aangamizwe, kwa nini hakuwa anaombea mabadiliko katika maombi yake ba badala yake ali deal na personality za watu maana mara kwa Mara utasikia akisema Lowasa Mungu amemchagua atupeleke kaanani.
we we tahira wa ccm umeambiwa alikuwa name ugomvi na chadema? bi shida Salum alikuwa mjumbe wa kamati kuu sasa mbowe kama mwenyekiti kwanini asimzike mjumbe wake. mbona ninyi kolimba mulimuua na kumzika?
wewe limutuz kweli ni janga. yaani uwezo wako katika kufikiri vizuri unaishia katika kumtengea chai mama kilango. huna lolote kila siku unapost pumba hapa.
mkuu kweli mapenzi upofu inamaana unajifanya hujuikuwa mkulu nae alimnyang'anya mke babu seya na kumfunga jela maisha. jamani hivi kati ya yule anayenyanganya mke wa mtu na kumuacha huru na yule anayenyang'anya na kumtia gerezani maisha aliye mnyanganya ni yupi mwenye dhambi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.