Recent content by mamuu2

  1. M

    JamiiForums Tanzania Neymar Jr atangaza kustaafu kuichezea Brazil baada ya kuondoshwa Kombe la Dunia na Norway

    Yan Brazil kutolewa nimesikia rahaaaaa, ☺️☺️ Walijua kunikera kutomuita Pedro
  2. M

    JamiiForums Tanzania Songea kuwa Jiji?

    🤣🤣🤣🤣 ebu tuwacheni na songea yetu.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Hospital Yenye kipimo cha aleji

    Pole sana aisee. Niliangaika sana na binti yangu alipokuwa mdogo kisa hayo mafua ya allergy. Kila sehemu naambiwa vitu tofauti had nachoka. Ni mpaka pale nilipoamua kutafuta mwenyewe chanzo. Nikaanza kuandika kila alichotumia, alichokula nk kwa siku. Nikawa namuachisha kitu kimojakimoja...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Je, wasifiwe WATAALAMU wa IVF , Muhimbili au Msanii Whozu, Wema kupata mtoto!

    Aisee, ngoja na mi ni comment, maana yeyote anaandika chochote ilimradi tuwe wapendwa washiriki
  5. M

    JamiiForums Tanzania Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu na Whozu wabarikiwa Mtoto wa Kiume

    Jambo la kheri
  6. M

    JamiiForums Tanzania Orodha ya wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya

    🙄🙄 eeh! Mimi hapo ulipoandika "baby usimmake crazy " nilikuwaga naimba "baby una m-drive crazy "🤣🤣 tena naimba kwa sauti. Huu uzi najichekea mwenyewe. Uko juu nimekutana na ring on it mi nilikuwa najiimbia "linganishi"🤣🤣🤣🤣🤣 Wallah nimejifunza, situkuja kuimba sauti tena. Hahahaaaa
  7. M

    JamiiForums Tanzania Orodha ya wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya

    🤣🤣 aisee, huu uzi nimecheka sana. Kumbe ni ring on it🙄 aiseee nilikuwa naimba uongo sana.
  8. M

    JamiiForums Tanzania ITV Tanzania huo u ‘super brand’ nani aliwapa? Je, ni tuzo ya kudumu?

    Lemutuz super brand😭
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kuelekea Kombe la Dunia 2026; Mchezaji gani ameachwa na timu ya Taifa unadhani alistahili kuitwa?

    Hahahaaaa....nimevurugwa.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kuelekea Kombe la Dunia 2026; Mchezaji gani ameachwa na timu ya Taifa unadhani alistahili kuitwa?

    Asante 🤣🤣. Yan kile kitoto cha 2000 kinanimaliza nguvu mimi mshangazi wa 76.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kuelekea Kombe la Dunia 2026; Mchezaji gani ameachwa na timu ya Taifa unadhani alistahili kuitwa?

    Msinichambe jamani nina kisukari☺️ Huyu Pedro mwenzenu nikimuona napata inguinal hernia.😍🥰😍🥰 Nimelia kwelikweli walivyomuacha
Back
Top Bottom