Recent content by MAMESHO

  1. MAMESHO

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Esbjerg VS Aarhus Fremad 1 GER RGN Norderstedt VS Eimsbutteler 1 GER RGN Teutonia Ottensen VS Jeddeloh 1 GER Schonnebeck VS Meerbusch 1 GER RGN Germania Ratingen VS Frintrop 1
  2. MAMESHO

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hazina maana, Tunisia na croatia inatoka kapa hata goli moja hamna
  3. MAMESHO

    Short course gani ilibadili maisha yako?

    SIDO vingunguti. Nilisoma usindikaji wa bidhaa mbali mbali nikapata cheti nimeanza ujasiliamali mdogo mdogo. Ilinikutanisha na watu muhimu.
  4. MAMESHO

    Kama wenye PhD ya Aquaculture hawana hata bwawa la samaki, mimi nitaweza vipi?

    unataka kujifunza hiyo kitu vizuri. nenda nigeria au south africa au hata hapo malawi kwanza hawana tabia ya kubania watu wasi graduate
  5. MAMESHO

    Kilimo cha Uyoga na soko lake

    ukiproduce kwa kiwango kikukwa sogeza hapo Dom au Dsm tutaula sana mkuu. naiupenda kuliko nyama
  6. MAMESHO

    Kilimo cha Uyoga na soko lake

    0767 95 99 42 au 0773 069 352. muone muombe awe mentor wako.
  7. MAMESHO

    Kilimo cha Uyoga na soko lake

    mkuu nakupa contact za jamaa mmoja hapo SUA. jishike naye. utanishukuru baadae.
  8. MAMESHO

    Mwanza kuna tajiri kumzidi Zongii?

    utajiri ni kiasi gani umesimama kwenye maagizo ya Mungu. tulikuja uchi tutarudi kwake na kuacha vyote
  9. MAMESHO

    Show za kibabe

    mbege ya mwika
  10. MAMESHO

    Kitendo cha wife kuingilia App ya SMS kila wakati ni kwangu tu?

    Mkuu. Punguza chat. Kuwa unapiga. Na ukipiga usipende asikie hata kama hakuna kibaya. Ni watu wenye speculations wakati mwingi. Yaani ni ma ofisa wa upelelezi waliojiajiri.
  11. MAMESHO

    Kama una shamba limekaa tu, panda Miti ya Mulberries, ina zero cost za utunzaji

    Hiyo miti ina faida sana kwa mtu anayefuga kuku, sungura na mifugo mingine. Kwanza kabisa wadudu wanaotoa nyuzi za hariri wanakula majani hayo tuu. Pili majani yake yakianikwa kwenye kivuli yakakauka yakiwa ya kijani bado ukatwanga unachanganya na chakula cha kuku yana kiwango kikunwa cha...
  12. MAMESHO

    Mkurugenzi Mkuu wa NMB, Bi. Zaipuna akutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu, Dkt. Dotto Biteko

    Niombe nmb mfundishe mawakala wenu. Tunapokwenda na malipo ya control number wanashindwa kutuhudumia
  13. MAMESHO

    Umekumbwa na nini ex -wangu

    Ni HR kanipa kazi kibao, na ile kitu.
Back
Top Bottom