Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako. Hosea 4:6
Kabla hatujafika kwenye chamgamoto
Jambo la kwanza ikiwa utawafuga kibiashara. Hakikisha CHAKULA cha hao kuku kipo na kiwe cha bei nzuri au uzalishe wewe mwenyewe.
Chakula ni 70%ya gharama na lishe duni ni chanzo cha magonjwa na tabia mbaya kama kudonoana, kuvimba macho, etc Weka stock ya...
Unaishi arusha lima arusha. Uza shamba la tanga nunua lingine arusha ambapo utaweza kufika kwa wakati na kulisimamia. Pia nunua ambalo liko karibu na chanzo cha maji. Mwezi ni muda mrefu kutembelea. Uwe na uwezo wa kufika kwa haraka wakati wowote na usiweke ratiba maalumu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.