Nafika nyumbani nakutana na hii karatasi ya wito najiuliza hii michango ya shule ipo au haipo?kwa nini kusiwe na kauli moja?
Kama mjini kuna haya je vijijini? Nawaza kwa sauti tu!!!
Kwanza hongera kwa kuwemo katika awamu hii ya tano, lakini kumbuka unaingia mkoa uliowashinda wengi akiwemo kandoro Ila naomba katika kazi zako usisahau kumulika wilaya ya mbeya vijijni bonde la songwe kitongoji cha kaloleni.
Mh,tunaporwa ardhi na mkuu wa wilaya akishirikiana na watendaji wa...
Ipo kivule wilaya ya ilala
ina vyumba viwili kimoja master,jiko,dinning,sitting,public toilet
pia ina eneo kubwa la kujenga nyumba kubwa na flem
ni yangu ndiyo naishi sh m28
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.