Unataka kusema mtu akifukuzwa kazi na along chukua huo mkopo serikali ndio italipa. Unajua masuala ya mkopo kiongozi. Guarantor hawezi kulipa mkopo kama mkopaji yupo
Kama huelewi kusoma na kufuatilia si afadhali ungefanya katafiti kadogo kiongozi. Rais hajalazimisha hizo pesa kupelekwa bot Bali ni sheria iliyotungwa na bunge lako ndio inatoa hayo matakwa. Na sheria imeanisha namna ya kutoa hiyo hela. Sasa sijui umefuatilia hilo ama umeamua kuandika tu.
Wabongo sisi no wajinga sana tunapenda umbeaumbea bila hata kufanya katafiti kidogo na kuchangia jambo kwa mapana yake. Tumezoea kupindisha maneno kwa maslahi binafsi. Hapo ndio unajua elimu no jambo la msingi na ndio maana biblia inasema watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifa. Mtoa maada weka...
Kilaza ni kilaza hata uwezo wake wa kufiri huwa hivyo. Mradi huu unajengwa kwa hela ya ndani iliyotengwa bajeti ya 2016/2017. Sasa jitu linakuja na kusema wahisani wametoka wapi. Akili zetu tumezifungia wapi vijana wa kibongo
Tatizo lako ni uelewa mdogo. Kuelezea utekelezaji wa shughuli za kimkoa ni wajibu kwa kiongozi makini. Wewe ukiamini hana ushawishi umepimaje. Nenda kafanye research uje na matokeo yakielezea huo upuuzi. No research no right to conclude from your opinion.
Sijui uliandika na wewe uonekane umeandika ama umefanya uchambuzi wa kutosha. Kukurupuka kubaya. Ungekaa chini ukafuatilia kinachochelewesha hadi sasa gesi isifike kiwandani ni nini na pili ungefuatilia kinachosababisha makaa ya mawe yasifike kiwandani kwa wakati ni mini na pia kwa suala LA...
Ungekuwa na akili kweli mngemleta mwenye vyeti aje aseme. Na makonda hataongelea hilo kwa sasa ana mambo mengi ya kuyafanya. Ni ujinga kuongea bila kufanya research oh hana cheti kati ya nyie na wanaofanya uhakiki wa nani wa kuteuliwa nani mwenye taarifa sahihi. Makonda kaa kimya waendelee...
Vijana wangu wanaqngamia kwa kukosa maarifa kweli. Hivi kwa akili yako unashindwa kutofautisha majukumu ya kitaifa na kisiasa. Du hizi shule tulizosoma kuna shida. Ila tutafika mtakapo endelea kuelimishwa
Mi nilizani watanzania ni wachambuzi kidogo kumbe tuna matatizo ya akili. Hivi ngwajima alikuwa wapi muda wote asiseme yote kisa ametajwa katika unga. Pia kama alitumia cheti cha mtu huyo MTU mbona hajaletwa aseme. Pia unajiuliza kama hana vyeti kati ya sisi tunaoongea na system iliyofanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.