Recent content by mamaur

  1. M

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa Morogoro Mjini

    Sio uko tumbaku. Ipo huu mtaa wa barakuda. Nimesema karibu na mataa ya tumbaku kama easy landmark. Karibu
  2. M

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa Morogoro Mjini

    Nyumba bado ipo....
  3. M

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa Morogoro Mjini

    Nimeona...nimeweka picha mbili tatu. Asante kwa ushauri
  4. M

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa Morogoro Mjini

    Nyumba ya 2016
  5. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kazi: Kusambaza vinjwaji kwa pikipiki

    Kijana awe na piki piki yake au ataikuta kwa mwajiri?
  6. M

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa Morogoro Mjini

    Nauza nyumba yangu iliyopo mkoani Morogoro. Mimi ndio mmiliki wa hiyo nyumba. Ukubwa wa kiwanja ni 1500qm. Nyumba ni ya ghorofa. Vyumba vitano (vinne ni master bedroom) Dinning na kitchen ni open plan Sitting room Public toilet. Kuna garage na chumba vimeunganishawa inaweza kuwa kama servant...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Guest house nzuri around Mlimani City

    Ipo maeneo gani hii...nipe directions kutoka mlimani
  8. M

    JamiiForums Tanzania Guest house nzuri around Mlimani City

    Breakfasta nzuri lakini?
  9. M

    JamiiForums Tanzania 5 Daily habits every one should do to live longer

    Kweli kabisa...u cant outrun a bad diet ata ufanye mazoezi kila leo
  10. M

    JamiiForums Tanzania Guest house nzuri around Mlimani City

    Maxmum 45k
  11. M

    JamiiForums Tanzania Guest house nzuri around Mlimani City

    Habari zenu. Nilikuwa naomba kujuzwa guest house nzuri ambazo zinatoa breakfast karibu na Mlimani City
  12. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Wapi wanapima Corona?

    Bado style ni ile ile ya kuchokonoa pua mzee au kuna njia mbadala ya kupima
  13. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Wapi wanapima Corona?

    Natumaini wote wazima na kwa wale wa dar poleni na mafuriko. Nilikuwa naomba kufahamishwa wapi wanapima Corona maana natarajia kusafiri nje ya nchi. Pili je kipimo cha Corona bado ni kile kile cha kuchokonoana pua?
  14. M

    JamiiForums Tanzania Ni maeneo gani kwa Morogoro mjini ni mazuri, tulivu na salama kwa kuishi?

    Wee unataka upaelewe vipi kwani?
Back
Top Bottom