pole mpendwa wangu mimi pia nina tatizo kama lako ila kuna utofauti kidogo kama ifuatavyo:
1.nimeolewa na mume yeye sasa hivi ana 43 mimi 38
2.hana tatizo la sukari ila tokea tuowane huu mwaka wa kumi na tuna watoto watatu, anapiga round moja tu hajawahi kurudia hata siku moja ila akipiga siku...
Niko zanzibar waislam tumefutika hasira zetu zidi ya ccm rohoni, mambo wanayofanyiwa masheikh wetu yanatuuma sana. Tumejiandaa kuiangamiza ccm mara hii. Kimya kingi kina mshindo mkuu
naomba nikushauri ndugu yangu: kurani inasema hakika dini ya haki mbele ya mwenyezimungu ni uislam na asietaka dini hii kesha angamia na kwa haikua maisha ya dunia ila ni starehe chache zenye kudanganya. jee uko tayari ukachomwe moto wa milele kwa ajili ya mwanamke?
jee katikati ya safari...
kuna msemo wa kiarabu unasema watu hawaishi kwa kupendana tu bali huishi kwa kuvumiliana na tabia njema
ndugu yangu hakuna kitu kinaleta raha kama kuolewa na mtu anaekupenda kwa dhati
mimi mwenyewe mume wangu aliponitaka kwa ajili ya ndoa sikua nampenda kivile ila mapenzi yamekuja baadae kwa...
pole habibty waswahili wakwetu Zanzibar wana msemo wanasema akufukuzae hakwambii toka utaona mamboye yamebadilika waweza ukae huwezi ondoka
mimini mama w watoto watatu na ahamdulillahi niko ndoani wanaume nawajuawani nilishapitia mitihani mini nakushauri ufaye hivi
kaa kama wiki bila ya...
msichokijua wengi ni kuwa slaani mkatoliki na siasaza ccm ni kuubeba ukatoliki no matter what haya yanayotokea kwa slaa si bahati mbaya kwa vile magufuli pia mkatoliki lazima atumiwe slaa kupunguza nguvu na kura za wapinzani na ikiwezekana edo ashindwe ili wakatoiki watawale ndio maana...
ccm kishaaa huku kwetu Zanzibar wanapumulia gesi tumewabana koo siku zote walikua wanategemea kura za bara ila naona mambo magumu kwa upande wao wahoiiiiiiiiiiiiiiiiii,
wandugu kuna habari eti Christopher ole sendeka kaimwaga ccm kaenda chadema ni kweli? mwenye habari atwambie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.