Hongera sana Dr Feleshi, PJ. You really deserved. You merit it in my very humble view. Tunakusihi sasa msihi pia CJ Juma msimamie kwa pamoja tuweze kupata Law Reports. Kama bajeti haipo ombeni katika mamlaka husika mpatiwe ili tuondokane na shida ya decisions zinazokinzana kila kukicha. Go...
Kwa mabadiliko ya kitaasisi uliyoyasimamia kwa kipindi kifupi kwenye ofisi yako hadi sasa, sisi tuliokuwa na shauku hiyo tunakupongeza. Endelea kufanya kazi kwa utalaam na weledi wako katika discourse yako ya kusaidia usimamizi thabiti wa rasilimali za walipa kodi wetu.
Tunakushukuru sana pia...
Lipumba huo uprofessor wako waliokupa hawana budi kukunyanganya kwa uroho wa fedha ulio nao. Mla rushwa mkubwa wewe kumbe umenunuliwa kwa hongo. Hufai hata kuonekana hadharani tena kafiche uso tu huko urambo
PCB ilikuwa bora kuliko PCCB. Hii ya siku hizi haijawahi kumshtaki mhusika mkuu wa ufisadi na rushwa kubwa. Unasoma tu katika magazeti wamemkamata samaki mdogo tu. Mapapa yanadunda tu tena bahari ya kina kirefu bila woga.wezi wakubwa walianzisha kampuni zilizonufaika na escrow. Yule kijana yuko...
Tusaidieni hii nchi itoke kwenye ugonjwa wa rushwa. Anzieni juu bwana siyo hao wadogo.tunasubiria fedha ya viroba vya stanbic bank vichunguzwe bwana Hosea. Ukimya unatutisha mno ninyi PccB.hiyo kinga ya viongozi ya kushtakiwa bwana yapaswa ifutwe kabisa. Huwezi kufanya uhalifu kisha useme unayo...
Dharau hizo acheni ninyi mbaojaribu kumdhihaki Professor Muhongo.ninyi mliungana na waliomzushia pia? CCM yenyewe imeshaona atafaa sasa nyie wengine mnatoa mitazamo tu...mie nasibiria Rais Muhongo wa awamu ya tano...Nabii hatambuliki kwao...wayahudi hawakumwamini yesu hadi...
Watanzania tutimize haki yetu kikatiba kwa kumchagua Prof Muhongo. Nilivyomsikiliza leo tayari nimeona anafaa kuwa Rais. Angekuwa na umahiri huu wakati Mwalimu alipong'atuka hakika angeungana na Mzee Mwinyi kuunda Serikali ya nchi yetu. Sasa kafika...tumpe ili tuendeleze nchi kwa utaalam siyo...
Poleni sana ndugu zangu walimu....wenye dira ya kuelimisha watoto wa nchi hii yetu. Hakika Ghasia awasikilize kilio chenu. Nawaombea kwa Mungu awasaidie mpate uhamisho kila mmojawenu kulingana na ndoto zenu popote mlipo.....tamisemi tusaidieni watu wetu hawa jamani japo shule zavijijini...
Taifa linahitaji watu kama wewe mtoa mada.
Ningelikuwa mimi ndiye top basi ningekufanya uwe mshauri elekezi wa madereva wa barabara za mikoani za route ndefu
Tatizo mimi naona ni kwakuwa fedha za kigeni na masoko yake vimetawala kuliko sarafu ya nchi. Nchi zenye maendeleo hubana sana matumizi ya sarafu za kigeni kwa matumizi ya ndani. Hapa kwetu kauchumi ketu kagonjwa lakibi cha kushangaza sojo huria la biashara wakati mwingine lunatuingiza chaka...
Subira inatutia shauku sana. Hivi ni lini NEC yaani Tume ya uchaguzi itatangaza rasmi kuanza kwa kampeni za uchaguzi mkuu ili hao wanaohangaika kuonesha nia au kuendelea kuwa kwenye zuio waweze kuweka nia zao hadharani?NEC funguka....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.