Habari Kuna dereva wa kike anatafuta gari kwa ajili ya biashara ya bolt/Uber/paisha etc
Leseni yake ni daraja D ana uzoefu mkubwa wa kuendesha hapa dar es salaam.
Ni mstaarabu na na mtunzaji nzuri wa chombo cha boss. Ana umri wa miaka 32.
PM kwa maelezo zaidi
Hello dears just want to share something with you about my love life.
I have grown up to 29 years old now and the worst thing is I have never seen love yaani sijui utamu wa mapenzi sijawahi kupendwa na mwanaume akanifanya mtu muhimu kwake.
Sina shida kwenye suala la uaminifu na wanaume wote...
Mnisaidie process leseni yangu ilipotea miaka miwili nyuma nataka kurenew baada ya kupata gari naanzia wapi?
Pia je nitahitaji loss report?
(muda wa ku expire bado mwaka mzima)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.