Recent content by Mama Nos

  1. M

    "nimeamua kuacha kujichubua"...mainda

    Hongera sana mungu akubariki.
  2. M

    Nina-furahi-sasa-kuona-CHADEMA-inaenda-kurudisha kata zake 4 za Arusha Jumapili saa kumi

    jamani roho inaniuma sana naomba kunijuza hali ikoje hapo arusha?kuna msg nazipata kuwa kuna magari yameandaliwa na mccm wamebadilisha namba za magari.:angel::angel: ooh yesu wa nazalet wafunike kwa damu yako
  3. M

    Waandishi wa Habari Tanzania wanahongwa na CHADEMA - Spika Makinda

    sio kosa lake ni kosa la kutokuwa na mume.yeye ametufanya sisi ni watoto hatuoni mambo anayo yafanya,spika ni mtu wa ajabu sana,
  4. M

    Baada ya CCM kuzidiwa Kete na CHADEMA Arusha,sasa waja na Mbinu mbadala.soma hapa!!

    maccm ndivyo yalivyo,subiri wataangukia pua:A S 20:
  5. M

    CHADEMA wasafirisha miili ya marehemu kwa maziko. Familia yaikataa serikali

    NAIONA TANZANIA MPYA INAKUJA INAYOZALIWA NA CDM.MKOMBOZI WETU YU HAI:nod:
  6. M

    Chadema tunaomba mtuwekee utaratibu ili tulio mbali na Arusha tuweze kuchangia

    wazo la mchango ni zuri sana naomba ufanye hivyo makene ili kutoa namba tuchangie michango midogo.makene mbona hupokei simu?mungu awabariki
  7. M

    Kiongozi wa CHADEMA amepoteza Maisha kwenye Mlipuko wa Bomu Arusha

    mungu wangu saidia tz tunaenda wapi ccm inataka kutupeleka wapi?:embarassed2:
  8. M

    Mhariri anayeichafua CHADEMA asimamishwa na Jukwaa la Wahariri

    Kwenye maandamo yao huwa wanafunga kitambaa mdomoni kuonyesha kuwa wote wakikaa kimya habari haita toka,lkn wengine ni wanafiki sana,angalia mauwaji ya mwangosi pamoja na maandamano yao,WALISEMA HATUMTAKI KUMWONA MH MCHIMBI,wakawa wa kwanza kumhoji,hivi wandishi hawana uchungu na mambo...
  9. M

    SHEKHE Ang’aka; Asema CHADEMA si Chama cha Wakristo

    CCM hoyeeee ujumbe mmeupata mwambie nape asome nyakati
  10. M

    Kufilisika kisiasa kwingine kunatisha!

    Nape ameishiwa sela,
  11. M

    Polisi wamjibu ovyo Kardinali Pengo juu ya mauwaji ya Mapadri

    Hao ndio policcm hawatumii akili kujibu maswali,wenyewe wanajibu kiubabebabe hawana shida, nchi yao kama wabunge wa ccm wanavyo jibu bungeni.
  12. M

    Taarifa kwa vyombo vya habari kutoka kwa umoja wa wanafunzi waliofukuzwa vyuo na vikuu nchini

    Du!! Inauma sana,serikali iliyokosa hekima imekosa uzalendo,serikali inashindwa kuwa na roho ya huruma,hivi hawa viongozi mungu aliwaumba siku gani? mbona wana roho ya unyama.wanafunzi amkeni mwaka 2015 tuwaondoe madarakani,MUNGU AMESIKIA KILIO CHENU ONE DAY YES.
  13. M

    Kamanda Kova: Tuhuma dhidi ya Lwakatare hazihusishi Chama

    wewe ni hakim ?basi fanya kazi kwasababu mtoto wa mkubwa,
Back
Top Bottom