Recent content by Mama Nehemiah

  1. Mama Nehemiah

    Huduma za uwekaji Tarazo (Tiles) kwa miradi mikubwa na midogo

    Kama hii ni kazi ya mikono yenu inabidi mjitathimini upya,kwa mtu anayependa kazi smart hii kazi mbona haijakamilika?au ninyi ni madalali?
  2. Mama Nehemiah

    Jirani yangu ana uwezo wa Ku-Hibernate na kukaa Wiki mbili bila kula chochote

    Sio kila mwenye umbo la binadamu ni binadamu kweli
  3. Mama Nehemiah

    Usiache kununua ardhi. Niliyojifunza Goba sikufanya makosa Madale

    Haijakamilika bado, mkandarasi yuko kazini now
  4. Mama Nehemiah

    Msaada nina milioni 500 hapa ambayo nataka niiwekeze niwe nakula faida tu, wapi kunafaa kwa uwekezaji huu?

    Okey hii iko vizuri. Demand za wateja zilizidi supply inaonyesha huu uwekezaji una faida sana.
  5. Mama Nehemiah

    Usiache kununua ardhi. Niliyojifunza Goba sikufanya makosa Madale

    Ardhi ya Makabe iko juu zaidi ya ardhi ya Msumi.Hakuna ardhi inauzwa ukubwa 20*20 kwa mil 6 Makabe wala Msumi.Hiyo bei ni ya muda sio sasa.Ukikuta mtu anauza hivyo kuna shida hilo eneo anataka akuingize mtegoni.Kwa uchunguzi jaribu kupitia hata page za madalali Instagram wanaouza viwanja uone...
  6. Mama Nehemiah

    Usiache kununua ardhi. Niliyojifunza Goba sikufanya makosa Madale

    Hakika vijana wawekeze kwenye ardhi. Msumi 20*20 mil 6 hupati sasa viwanja vimepanda lami inayojengwa imepandisha sana ardhi.....iko 18-20mil sasa. Makabe ndo kabisa huwezi kupata 20 kwa 20 kwa mil 6.kama mtu anacho kwa mil 6 naomba niwe mteja
  7. Mama Nehemiah

    Ramani, Makadirio, Elimu na Ushauri kuhusu Ujenzi

    Umejitahidi kujieleza vizuri, hizi contemporary house unajenga?naona nyingi zinavuja
  8. Mama Nehemiah

    Kwanini kwenye nyumba za kupanga ujenzi wa vyoo vizuri hauzingatiwi?

    Nyumba nyingi za hivyo huwa mwanzoni hazikujengwa kwa lengo la kupangisha...so baadae mwenye nyumba anaamua kuforce anaongeza vyumba vingine lakini vyoo na chemba zake zinakuwa za zamani hasa mikoani wana hii tabia sana wakiona mji umechangamka na uhitaji wa vyumba ni mkubwa. Nilishawahi kupanga...
  9. Mama Nehemiah

    Walimu shule ya msingi Goba Mpakani hamtendi haki

    Hata hapa ujumbe utawafikia bila shaka
  10. Mama Nehemiah

    Walimu shule ya msingi Goba Mpakani hamtendi haki

    Kisa sio mia tano...shida kwa nini mtoto wa darasa la tatu achapwe fimbo kwa kutokwenda shule siku ya jumamosi.(Tuition)?,hata ingekuwa hawaambiwi waende na hiyo mia 5 kwamba ni buree bado sio haki kwa mtoto wa darasa la 3
  11. Mama Nehemiah

    Walimu shule ya msingi Goba Mpakani hamtendi haki

    Inashangaza sana...tena jumamosi siku ya mapumziko kwa mtoto wa darasa la tatu
  12. Mama Nehemiah

    Walimu shule ya msingi Goba Mpakani hamtendi haki

    Niamini...assignment niliyonayo ni kuwasemea wasioweza kusema...ninaposema tutakiwasilisha sio lazima mimi niwe ni mhusika/mzazi.Ni kitu Mungu ameweka ndani yangu kwa kuzaliwa kuwasemea wengine.Nina majirani zangu ni wahanga wa hili nimeumia kwa nini mtoto wa darasa la tatu achapwe fimbo kwa...
Back
Top Bottom