Recent content by Mama Nehemiah

  1. Mama Nehemiah

    JamiiForums Tanzania KERO Goba Mpakani Mtaa wa Badilika hatuna maji mwaka mzima, DAWASA wanarekebisha lakini hakuna kitu

    Poleni na changamoto ya maji, Imefika wakati sasa mtanzania ukiwa na mpango wa kujenga bajeti ya kuchimba kisima cha kuvuna maji ya mvua iwe ni kipaumbele.
  2. Mama Nehemiah

    JamiiForums Tanzania Unahitaji Sakafu Tarazo imara na ya kisasa?

    Angalau sasa kapicha kanavutia
  3. Mama Nehemiah

    JamiiForums Tanzania Huduma za uwekaji Tarazo (Tiles) kwa miradi mikubwa na midogo

    Kama hii ni kazi ya mikono yenu inabidi mjitathimini upya,kwa mtu anayependa kazi smart hii kazi mbona haijakamilika?au ninyi ni madalali?
  4. Mama Nehemiah

    JamiiForums Tanzania Jirani yangu ana uwezo wa Ku-Hibernate na kukaa Wiki mbili bila kula chochote

    Sio kila mwenye umbo la binadamu ni binadamu kweli
  5. Mama Nehemiah

    JamiiForums Tanzania Usiache kununua ardhi. Niliyojifunza Goba sikufanya makosa Madale

    Haijakamilika bado, mkandarasi yuko kazini now
  6. Mama Nehemiah

    JamiiForums Tanzania Msaada nina milioni 500 hapa ambayo nataka niiwekeze niwe nakula faida tu, wapi kunafaa kwa uwekezaji huu?

    Okey hii iko vizuri. Demand za wateja zilizidi supply inaonyesha huu uwekezaji una faida sana.
  7. Mama Nehemiah

    JamiiForums Tanzania Msaada nina milioni 500 hapa ambayo nataka niiwekeze niwe nakula faida tu, wapi kunafaa kwa uwekezaji huu?

    Je akitaka kuchukua pesa yake aliyowekeza huwa wanatoa na faida?
  8. Mama Nehemiah

    JamiiForums Tanzania Usiache kununua ardhi. Niliyojifunza Goba sikufanya makosa Madale

    Ardhi ya Makabe iko juu zaidi ya ardhi ya Msumi.Hakuna ardhi inauzwa ukubwa 20*20 kwa mil 6 Makabe wala Msumi.Hiyo bei ni ya muda sio sasa.Ukikuta mtu anauza hivyo kuna shida hilo eneo anataka akuingize mtegoni.Kwa uchunguzi jaribu kupitia hata page za madalali Instagram wanaouza viwanja uone...
  9. Mama Nehemiah

    JamiiForums Tanzania Usiache kununua ardhi. Niliyojifunza Goba sikufanya makosa Madale

    Hakika vijana wawekeze kwenye ardhi. Msumi 20*20 mil 6 hupati sasa viwanja vimepanda lami inayojengwa imepandisha sana ardhi.....iko 18-20mil sasa. Makabe ndo kabisa huwezi kupata 20 kwa 20 kwa mil 6.kama mtu anacho kwa mil 6 naomba niwe mteja
  10. Mama Nehemiah

    JamiiForums Tanzania Karibuni Jirani zangu wa Kibaha

    Safi
  11. Mama Nehemiah

    JamiiForums Tanzania Ramani, Makadirio, Elimu na Ushauri kuhusu Ujenzi

    Umejitahidi kujieleza vizuri, hizi contemporary house unajenga?naona nyingi zinavuja
  12. Mama Nehemiah

    JamiiForums Tanzania Kwanini kwenye nyumba za kupanga ujenzi wa vyoo vizuri hauzingatiwi?

    Nyumba nyingi za hivyo huwa mwanzoni hazikujengwa kwa lengo la kupangisha...so baadae mwenye nyumba anaamua kuforce anaongeza vyumba vingine lakini vyoo na chemba zake zinakuwa za zamani hasa mikoani wana hii tabia sana wakiona mji umechangamka na uhitaji wa vyumba ni mkubwa. Nilishawahi kupanga...
  13. Mama Nehemiah

    JamiiForums Tanzania Walimu shule ya msingi Goba Mpakani hamtendi haki

    Sina kwa kweli
  14. Mama Nehemiah

    JamiiForums Tanzania Walimu shule ya msingi Goba Mpakani hamtendi haki

    Hata hapa ujumbe utawafikia bila shaka
  15. Mama Nehemiah

    JamiiForums Tanzania Walimu shule ya msingi Goba Mpakani hamtendi haki

    Kisa sio mia tano...shida kwa nini mtoto wa darasa la tatu achapwe fimbo kwa kutokwenda shule siku ya jumamosi.(Tuition)?,hata ingekuwa hawaambiwi waende na hiyo mia 5 kwamba ni buree bado sio haki kwa mtoto wa darasa la 3
Back
Top Bottom