Baba umsemehe huyu, hajui asemalo. Uzuri wakatoliki tumejawa na na roho mtakatifu aliyetushukia siku ya pentecoste, tunajizuia kuyasema mapungufu kadhaa ya dini zingine; na yapo mengi na yanafedhehesha.
Rest in peace Dhamendra. I am just thinking aloud to check if the following Bollywood stars are still alive: Amitah Bunchan, Rajesh Khana, Rishi Kapoor, Ashok Kumar, Sanjev Kumar, Hema Malini, Mithun Chakroboty, and Prem Chopra.
"Mjinga akielimishwa anaelewa, lakini mpumbavu huwezi kumuelimisha, kwani upumbavu ni sifa ya kuzaliwa nayo, kama ilivyo kwa ufupi na urefu"- Mwalimu Nyerere.
Hii ilikuwa ni business ya wanaume wawili wakiwahudumua wasixhana wabichi. Wanaume hawa ndiyo huyo marehemu Lundenga na mkuu wake wa itifaki marehemu Albert Makoye. Kwa kuwa wote wamefariki, basi imekuwa an end of an era. Ila wameacha kumbukumbu ndanibya mioyo ya hao wasichana waliowahi...
Mwijzku katoka kiluhiji juzijuzi, na tayari keshaanza kuendekeza umalaya. Mwijaku zingatia maadili ya dini yako huku ukijikumbusha kuwa, ukimwi bado upo. ukijikumbusha kuwa ukimwi upo!!!!
Mimi ni kama Mtakatifu Thomas, siamini bila kuona. Itapendeza kama huyu Nabii Irene ataanzia kwa kuwapaka wazazi wake na babu zake ili tushuhudie wakirudi ujana. Amen
Looh, nina wasiwasi anakwenda kupanga mkakati na Ufaransa kuhusu hali ya kisiasa ya Ecowas baada ya Burkinafaso, Mali na Niger kujitoa kukimbia unyonywaji..
Gerald Ford alichukua madaraka ya kuwa rais, baada ya rais Nixon kujiuzuru. Tukumbushsne Gerald Ford alikuwa mgombea meenzi wa Nixon na hivyo walishinda kwa kupigiwa kura na wananchi. Hii ni case tofauti kulinganisha na mada iliyoko mezani ambapo makamu wa rais hstokani na ugombea mwrnza.
Kwa sasa hali ya kiuchumi siyo nzuri, ngoja nikishavuna mshindi yangu na kuuza nitapanda ndege hadi kigoma hslafu nipande MV Liemba inivushe hadi Lubumbashi niingie Congo DRC kufanya utalii wa ndani.
Ndege zipo Nairobi hadi Dar, KIA, na Zanzibar, hakuna ndege ya Nairobi kwenda Dodoma. Vilevile hakuna bus la Dar kwenda Nairobi. Ndege kutoka Dar kwenda Mpanda ni mara tatu kwa wiki, na mara nyingi huwa zinaahirishwa.
Wadau wana bodi, niko natoka zangu jijini Nairobi kupitia Namanga kurejea Dar na baadaye kwenda nyumbani Katavi. Maajabu baada ya kuvuka Mkata tumekuta mrundikano wa magari, ya kuenda Dar hayaendi na ya kutoka Dar hayapiti. Hamna anayetuambia shida ni nini. Aliye na taarifa za uhakika atujuze...
Ukweli ni kuwa safari ya bus Dar to Morogoro au Morogoro to Dar ni saa 5 nzima kwa bus; na kutoka Dar hadi Dodoma au Dodoma hadi Dar kwa bus ni saa 8 nzima. Hiyo ndiyo hali halisi kwa sisi tunaotumia usafiri wa bus.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.