Siku hizi kila mtu anatafuta njia ya kuchuma hela haraka, na kazi ya mwalimu ni ya kujivuniya lakini hailipi vizuri. Kwa hiyo kuwa mwalimu ni kazi ya mwisho mtu atataka kuchagua kwa sababu ya malipo. Lakini hawajui kwamba kila mmoja anahitaji mwalimu kumsaidia kupanda ngazi ya maendeleo yake...
mmmm sheria zote yana yakuwa kwa wanawake wa ki islamu tu! mbona wanaume wa ki islamu hamuwaambii??????????
Na kwanini tujirudi na kutubu wakati wa mwezi wa ramadhani tuu, kwanini tusifanye hayo yote kilasiku kama sheria za kiislamu zina sema???????????
Hi,
It all depends on you and the age of your daughter really. Are U interested in taking care of your daughter on your own? if yes then you should take her with you and bring her up yourself.
Mama KK
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.