Recent content by mama isidingo

  1. M

    Picha: Mafuriko ya Mbeya "Sugu" Mkutanoni Leo hii

    Watoto wa shule utafikili ni chekechea ngojeni 2020
  2. M

    Picha: Mafuriko ya Mbeya "Sugu" Mkutanoni Leo hii

    Hayo ndio mafuriko na picha zenu za upande mmoja
  3. M

    Picha: Mafuriko ya Mbeya "Sugu" Mkutanoni Leo hii

    Hakuna mafuriko hapo
  4. M

    Picha: Mafuriko ya Mbeya "Sugu" Mkutanoni Leo hii

    Hakuna mafuriko hapo
  5. M

    Ndoto ipi ilikufurahisha 2015?

    Kwenye hiyo ndoto na mimi nilikuwepo tukaenda hadi ilembula hospital kupitia kwa mbunge wa zamani yono kevela kufika hospital magufuli wakamnyonya damu nikaogopa nikashtuka ghafla kumbe ndoto
  6. M

    Mbeya City FC yaendeshwa kisiasa

    Wewe tena unaleta siasa wakati tunataka kufanya timu iwe ya kishindani unaleta uchadema na uccm ujue timu ilikuwa nzuri sana siasa ndio zimeharibu timu na inaweza kushuka daraja
  7. M

    Mbeya City FC yaendeshwa kisiasa

    Wadau ni kwamba timu ya Mbeya city inazidi kupotea katika ulimwengu wa soka baada ya wanasiasa kuingilia kati na kufanya kuwa chanzo chao cha pesa(maslahi binafsi) kuliko ya timu. Kama ijulikanavyo timu hii inamilikiwa na halimashauri ya jiji la Mbeya, ambayo mpaka inapanda daraja halimashauri...
  8. M

    Lowassa wanatunduma tunakusubiri

    Sasa si mkae na mwakajoka lowasa anachunga ng'ombe hataki kusikia hayo mambo yamemfanya alost sana
  9. M

    Lowassa wanatunduma tunakusubiri

    Una wazimu wewe hapa kazi tu
  10. M

    Nafasi ya Lowassa ndani ya CHADEMA

    Lowasa kasha kwisha kisiasa hawezi tena kuendelea mtu mwenyewe alikuwa anaomba uchaguzi uishe apumzike
  11. M

    Renatus Mkinga na Mtikila live Star TV: Suala la afya za wagombea laongelewa

    lowasa hafai hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi
  12. M

    Mbunge wako ametimiza wajibu wake?

    mbunge wangu ni sugu hakuna alichofanya mbeya zaidi ya mavurugu tu
Back
Top Bottom