Kwenye hiyo ndoto na mimi nilikuwepo tukaenda hadi ilembula hospital kupitia kwa mbunge wa zamani yono kevela kufika hospital magufuli wakamnyonya damu nikaogopa nikashtuka ghafla kumbe ndoto
Wewe tena unaleta siasa wakati tunataka kufanya timu iwe ya kishindani unaleta uchadema na uccm ujue timu ilikuwa nzuri sana siasa ndio zimeharibu timu na inaweza kushuka daraja
Wadau ni kwamba timu ya Mbeya city inazidi kupotea katika ulimwengu wa soka baada ya wanasiasa kuingilia kati na kufanya kuwa chanzo chao cha pesa(maslahi binafsi) kuliko ya timu.
Kama ijulikanavyo timu hii inamilikiwa na halimashauri ya jiji la Mbeya, ambayo mpaka inapanda daraja halimashauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.