sasa unachoogopa kwenda kupima ni nini kama sio unajijua kabisa tabia yako ya kuokoteza wanawake na wakati una mke nyumbani kwako ni nini? sometimes kuna baadhi ya wanaume pasua kichwa sana kwa wakezao!
wewe unaesema anajiendekeza beba na wewe mimba uone raha yake,ukishajua utamu wa kubeba mimba unaweza kwenda kumpigia mama ako magoti kwa mateso aliyoyapata kwa miezi yote tisa.
msimshangae huyo anaonesha wazi kuwa nature yake ni uchafu na hiyo ameongelea chini akinyanyua mkono huyo wote mliokaribu mnakimbia na mafua juu,cku akifa muoshaji maiti yake atajionea viroja sana
pole sana dada,jaribu kuongea na mumeo kuwa akiwasikiliza sana ndugu hasa mawifi wengi wetu ni wavunjaji wa ndoa,ajue ndoa ni ya watu wawili tu ukiingiza ndugu tu unaharibu kila kitu kwani maneno yamakuwa mengi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.