Recent content by Mama Diana

  1. M

    Samaki wazuri wa kubanikwa kutoka mwanza wanapatikana

    yaap nipo dar mpendwa nipigie kwenye namba niliyoweka hapo kwa maelezo zaidi
  2. M

    Samaki wazuri wa kubanikwa kutoka mwanza wanapatikana

    umejaaa dharau wewe yaani sitaki hata niongee kwani usipoandika kitu utakufaa
  3. M

    Samaki wazuri wa kubanikwa kutoka mwanza wanapatikana

    ndugu yangu nipo dar na ni wa kubanikwa
  4. M

    Samaki wazuri wa kubanikwa kutoka mwanza wanapatikana

    Samaki wazuri wa kubanikwa kutoka ziwa victoria.bei inaanzia 3000 hadi 5000 kulingana na ukubwa wao.kwa mawasiliano piga no 0754621676. :welcome:
  5. M

    Nisaidieni tafadhali nipate kibarua nipate chakula

    <br /> <br /> jamani najua basi maana ya ya PM
  6. M

    Nisaidieni tafadhali nipate kibarua nipate chakula

    <br /> <br /> Ndiyo ndugu yangu nitashukuru sana kwani nimehangaika sana
  7. M

    Nisaidieni tafadhali nipate kibarua nipate chakula

    <br /> <br /> nipo mbezi luois. Miezi 3. Ndiyo kaka yupo wa kumwachia
  8. M

    Nisaidieni tafadhali nipate kibarua nipate chakula

    <br /> <br /> ndiyo ndugu yangu
  9. M

    Nisaidieni tafadhali nipate kibarua nipate chakula

    Naishi Mbezi luois. Yaap Diana ni mwanangu. Baba yake alinikana na alinikimbia.
  10. M

    Nisaidieni tafadhali nipate kibarua nipate chakula

    Nashukuru love kwa courage, jamani niajiri pls
  11. M

    Nisaidieni tafadhali nipate kibarua nipate chakula

    Kweli kaka mimi mdada nitaweza kweli na mwanangu!
  12. M

    Nisaidieni tafadhali nipate kibarua nipate chakula

    Nina miaka 22 na nilishawahi kufanya kazi kiwanda cha konyagi. Nipo tayari kufanya kazi yoyote isipokuwa ubar medy na changudoa
  13. M

    Nisaidieni tafadhali nipate kibarua nipate chakula

    Nimemaliza mwaka jana ndugu yangu. Kuuza dukani, house keeper, isipokuwa bar medi na uchangudoa ndiyo kazi ambazo siko radhi nazo
  14. M

    Nisaidieni tafadhali nipate kibarua nipate chakula

    tafadhali ndugu zanguni nahitaji msaada wa ajira kwani nimemaliza form 4 ila sina professional yoyote tafadhali. Nisaidieni tafadhali
  15. M

    hello wana jf

    msaada wenu wahitajika wajameni
Back
Top Bottom