Yaani huwa inanifikirisha sana, kizazi Cha sasa kimejaa ubinafsi mnoo na hawana huruma kwa watoto wao. Ndiyo maana kuna wakati unakuta mtu anapgiwa simu halloo fulani Mama/Baba yko kalazwa anaitika kawaida tu tena hana majonzi kiviilee na anaweza kaa hata zaidi ya siku 2 ndiyo akaenda kumjulia...
Ndiyo hivyo utaratibu wa hovyo mnoo kwa kifupi mtoto anakuwa chini ya uangalizi wa nurse na akilia njaa wakati bdo Mama hajanyanyuka anapewa tu maji twa dripu (glucose)
Hospital gani ya serikali mtoto anapokelewa na ndugu mara tu anapotoka theatre? Hospital nyingi za serikali naona mtoto anakuwa chini ya uangalizi wa manesi hd yale masaa 8 Mama anaporuhusiwa kunyanyuka...... kiukweli haya mambo yanaumiza sana sijui hata huwa wanalipwa kiasi gani kufanya huo...
Wewe Dada mbona hadithi ya maisha yko inataka kufanana na yangu? Sema Mimi niliachwa na miezi 4😭 wanaume hakika angalieni wanawake wa kuoa hasa ukiwa umeachiwa mtoto/watoto wadogo...... Mungu bariki kila Mama aweze kulea mwenyewe uzao wake.
Watu mnasiri sana kumbe kuna mayai ya interview na hamsemi?!ila mayai kwangu yapo kwa ajili ya mume wangu sasa nawewe tafuta wko kwa ajili ya hilo zoezi
🤣🤣🤣🤣 Sijajua kwanini Mama kakaza fuvu namna hiyo au ndiyo km ulvyosema ni Mama wa kizamani. Binafsi binti yngu kakuwa juzi kati tu na akaanza maswala ya boarding na Mr katika vitu vya kununua vya shule na mahitaji ya binti anamnunulia binti yake pads,chupi etc japo zinafikia kwanza kwangu nami...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.