Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, imeanzisha travel insurance kwa kila mgeni ( foreigner ) atakayeingia Zanzibar kuanzia 1 Oct 2024, je hii ni sahihi au ni upungufu wa ubunifu wa kukuasanya kodi, maana sekta ya utalii pekee ndio inayobinywa, pengine hii kutaifanya Zanzibar kua ni expensive and...
Huu ubaguzi na kulazimisha Imani kwa Zanzibar ulianza zamani sana, Imani ya mwengine unaingilia uhuru wa mwengine, watu wanafungishwa kwa lazima watake wasitake, iliwahi kutokezea kuna kipindi watu walikua wanafatwa hadi ndani wamejifungia wanakula wanakamatwa. Kipindi hichi cha Ramadhani kwa...
Habari wana jamvi, kumekua na tatizo kubwa sana kwa Idara yetu ya uhamiaji kwa wageni wanaomba Referal Visa kuja Tanzania, mara nyingi wamekua wakicheleweshwa au kukataliwa kabisa, cha kushangaza wanaweza kuomba watu 2 wote wanatoka nchi moja tena ni mtu na mkewe, basi mmoja anakubaliwa na...
Utatukana sana Balahau,kwa sababu nakugusa ndipo,I hit the nail on the head, mimi sio kama nalijua Jumba la Train tu, napajua hadi Mtambile kwa bibi yako,wengi wenu mlikuja Unguja ka kufaulu form two, au kipindi kile mwisho form 3, mkifaulu mnapangiwa kuja kusoma Unguja, mkishafeli hamrudi...
Upemba umekutoa povu sana, we Balahau,kubali wewe ni mpemba, na nyinyi ndio mna mbegu mbaya sana za chuki na ubaguzi,wakati nyinyi mmejaa tele kule Tanganyika na mna enjoy Muungano, watu wa wabara wakija kwenu mnakua mnachuki za ajabu,kazi yenu ubaguzi na majungu tuuuu,na kukaa pale darajani (...
Kwenye ajira ndio usiseme, hata kama ukipata, promotion ni tatizo, hata ukibadili dini, wanasema umebadili bandarini tu wewe ulipofika Zanzibar, yaani kuna tatizo sana, walio mbali hawajui, unaweza kuona kama mambo yako shwari ila sio shwari kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.