Kuwa mbunge Tanzania nisawa na kujitia uwendawazimu,hii ni hasa pale ukiwa mbunge upande wa kutetea watawala.Hivi watu hawa wanamjua Mungu kweli?wanaishi nasi kweli au wanaishi ulaya na huja bungeni tu?
Mwenye mamlaka alisema atapunguza kodi hadi ifikie digit moja,hamjui lazima pengo lizibwe?ndo hvyo na haina haja ya kumlalamia waziri yeye ni kipaza sauti tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.