Recent content by malobosato

  1. M

    Clouds TV/FM wanadharau walimu

    Mjinga akielimishwa hujiona kana kwamba yuko juu ya mwalimu wake,hawa wa..p..u..v wanajiona wanajua kuliko wengine
  2. M

    Warioba tafadhali fanya maamuzi magumu

    hivi u hai au uko kuzimu?sizani aliyehai kama anaweza achama kama wewe.
  3. M

    Who is X and Y?

    kichwa chako kimetulia,huo ndo mfumo wa tawala nyingi.
  4. M

    Bunge mzigo namba moja Tanzania

    Kuwa mbunge Tanzania nisawa na kujitia uwendawazimu,hii ni hasa pale ukiwa mbunge upande wa kutetea watawala.Hivi watu hawa wanamjua Mungu kweli?wanaishi nasi kweli au wanaishi ulaya na huja bungeni tu?
  5. M

    Ufisadi wa 200 bilioni Ikulu

    msamiati mzuri ni kuchukua na si kuiba,kawaida mwizi hushitakiwa.
  6. M

    Serikali yaanzisha kero mpya kwa wafanyakazi

    Mwenye mamlaka alisema atapunguza kodi hadi ifikie digit moja,hamjui lazima pengo lizibwe?ndo hvyo na haina haja ya kumlalamia waziri yeye ni kipaza sauti tu.
  7. M

    Mbunge wa Nkasi mh. Ally Kessy asema Wazanzibar wanachosha, ni mzigo

    Hayo ndo yaliyo ndani ya mioyo ya CCM wote,yeye amethubutu,je ataitwa jina pendwa la MCHOCHEZI kama ilivyozoeleka?
  8. M

    Tundu Lissu Pemba: ''Aipasua Kokwa' Jinsi Tanganyika ilivyo inyanganya Zanzibar Mamlaka yake

    Vp kungekuwa na Tundu watano tu bungeni mambo yangekuwaje?wewe unayemuona muongo ukweli ulionao ni upi?bila shaka wewe ndiye kiraka tu.
  9. M

    Nape: UKAWA wapigwe mawe wakienda kwa wananchi

    kwao intalahamwe hakuna uchochez yote sawa tu.
  10. M

    Ushahidi kuwa kapuya hajagawa simu yake huu hapa

    Unaelewa umepost nini kweli?unataka tufanye nini?
  11. M

    Mkutano wa CHADEMA Arusha - Nov 29, 2013

    Cha muhimu cdm waimarishe chama chao kuanzia ngazi za chini kabisa,malumbano yasipewe nafasi
Back
Top Bottom