KATIKATI nguvu ya KIAPO.
Muuguzi aliyesalia nami katika chumba kile cha matibabu, haraka sana alinikimbilia na kuniita jina langu. Alitabasamu na kuniambia "karibu" binafsi nilizidisha mshangao,
"Dakitari wako anakuja sasa hivi, naomba usijitikise mwili tafadhali" machozi yalianza...
HERI YA SIKU YA BABA DUNIANI!
Wewe ni muhimu sana kwenye haya maisha. Wewe ni nguvu ya watoto wako. Kuna vitu mama hata apambane vipi, hawezi kumpatia mtoto. Wazazi wote ni muhimu kwa nafasi zao ila, baba ni mhimili kwenye maisha ya mtoto wake.
BABA;
Jina hili ni kofia ya moto yenye misumari...
Nguvu ya KIAPO.
Habari ya asubuhi mpendwa wangu!!!!
Ni matumaini yangu uu, buheri wa afya. Namtukuza Mungu kwa ajili yako.
Rasmi kabisa nakutaarifu, juu ya ujio wa riwaya yangu mpya iitwayo; nguvu ya KIAPO
Itaingia sokoni rasmi tarehe 15/6/2024
Kitabu hiki kitapatikana kwa shilingi elfu 12...
Mwanaume mwenye uhitaji na wanawake wengi, hana furaha na yeye mwenyewe.
Kwake kuwa na usikivu wa wanawake wengi, kunamsaidia kulisha nafsi yake, kuficha kutojiamini kwake.
Huyu mwanamume asiyejiamini, atacheza na hisia za wanawake wengi, huku akidhani ananufaika na kuongeza kujistahi...
Habari rafiki. Naitwa Eva Mrema. Ni muelimishaji, kungwi na muandishi. Nakuletea ofa kabambe.
Vitabu hivi viwili vya maarifa kwa mwanamke vinauzwa elfu 20 hardcopy. Lakini kutoka kwenye uzi huu utavipata kwa elfu 16 tu.
SOFTCOPY utapata kwa elfu 3 tu, badala ya elfu 5. Karibu sana...
MJUMBE HAUWAWI.
Nimepitia comment kwenye hii post.
Wanaume wanamalalamiko mengi sana yenye tiija juu ya hoja hii.
Swali likanijia, je anaweza kufika Moshi na asifike kileleni?
Nikaendelea kusoma Comment, nanukuu mbili.
"Mwanamke ukianza naye anakuwa msafi na wa maana sana, muoe sasa...
Tunaumizwa na watu tunaowapenda. Tumewapa haki hiyo tulipojiaminisha upendo tulionao kwao ndio walionao kwetu. Tumechagua wenyewe kuumia.
Haki ya kulibangua hilo na kuliweka kwenye kipimo stahiki imeshikamana sana na mataraja yetu. Tunaamini tunavyovitarajia kuliko vilivyobwagwa upeoni mwetu...
MDOGO WANGU!
Dada yako Eva Mrema, nimewiwa kukuambukiza maarifa. Haya ni mambo matano ambayo nakuomba sana uyawekee mazingatio katika umri wa ujana kuelekea utu uzima wako.
1. ZINGATIA KUJIKUZA.
Katika umri wa ujana mbichi binti wa kisasa unawaza usome, uhitimu; upate kazi, upate mwanaume...
Tanzania tuitakayo inahitaji watu wanaokua.
Mdumao wa karne kwa karne wa Afrika sio kosa letu. Simaanishi tupo tulipokuwa, ila tunajongea kwa mwendo wa kinyonga ukilinganisha na mataifa kwenye mabara mengine. Tunadumaa kwa sababu dunia inaogopa tukifunguliwa tutakuwaje.
Nchi kubwa kama...
ZINGATIA HAYA ALFAJIRI.
KIJANA JINSI ZOTE.
Nimeiita alfajiri tusiyojua kilichobebwa na mchana wake. Ndio ni alfajiri na mapema ya mahusiano unayoona pengine kuna umbali yataenda na hata kukupeleka kwenye ndoa.
Watu wengi huanguka mwanzo/asubuhi lakini athari huonekana jioni kwa sababu tu...
Kauli hii ni ya kila asiyenazo za kukidhi japo mahitaji yake ya lazima. Kauli hii hutamkwa hata na wale wenye nazo za kukidhi ila hazijawakinaisha.
Nikisema nazihitaji, mtauliza tofauti yangu na wao ni ipi ama ni nini?
Nahitaji pesa ili niikomboe kesho inayonitafuna sana moyoni. Ningepewa...
Nimekutana na rafiki yangu wa kitambo kwa ghafula. Ni mahala ambapo hata ndotoni hakuna kati yetu ambaye angeamini kama tungekutana baada ya miaka 13 ya 'tusitambuane'.
Ilikuwa miaka ya ujana mbichi wenye utoto ndani yake. Alinipora "Shilingi niloithamini kabla hata sijaonja kuitumia" zingatia...
utanguizi.
Mmomonyoko wa maadili si neno geni hata kwa sikio jipya. Ki falsafa mmomonyoko wa maadili ni ukiukwaji wa utamaduni mama uliokuwa sahihi ki msingi; ni kinyume na kila utaratibu wa utu.
Nachelea kusema, Mmomonyoko huu kuna namna tumekwisha kuuhalalisha kama jamii kwa kisingizio cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.