Recent content by malipesa2014

  1. malipesa2014

    Binafsi nimeridhika, mtia nia Nyerere ni jibu letu kwenye rushwa na ufisadi, like father like son!

    Huyu Makongoro anaonekana atakuwa mropokaji sana katika utawala wake na hivyo kujutia mengi atakayokuwa analitamkia taifa!
  2. malipesa2014

    Ajira Kwanza Vs Elimu Kwanza!

    Ongea ni nini utaifanyia nchi, na si kutafuta umaarufu kwa mgongo wa mgombea mwingine. #kampenidhaifu
  3. malipesa2014

    Urais 2015: Nchimbi amejitoa na kujiunga na team Lowassa, wengine watafuata?

    Akijitoa na kuingia chama chochote atashinda uraisi kwa kishindo. Na hapo CCM itajuta maana ina JK na Riz watamfuata Nguza lupango kwa ufisadi mkubwa waliofanya kwenye hii!
  4. malipesa2014

    Tulifurika uwanjani kujua utata kuhusu RICHMOND, si kwamba tunampenda Lowassa

    Sasa mabango ya kuonyesha mnapenda mlibeba ya nini? Hebu acheni siasa zenu chafu. Kila uchao mnatumwa na kina Membe kuanzisha threads za kumkashifu Lowassa badala ya kujenga hoja za msingi! Na kusema mtaifanyia nchi....
  5. malipesa2014

    Tafsiri ya kaulimbiu ya "Safari ya Matumaini" ni kiashiria cha kutokuwa na uhakika!

    MJENGA The most powerful leader in the World, Barack Obama alitumia kauli mbiu ya HOPE FOR CHANGE. Nadhani hata kwa Lowassa si dhambi kuwapa watanzania matumaini.
  6. malipesa2014

    Washindi wa "Tuzo za watu"

    Salim Kikeke angekuwa anatumia busara zaidi kujitoa kwenye tuzo hizi. Ushiriki wake hauna usawa na washindani wengine wanaosikika ndani ya Tanzania pekee, tofauti na yeye anayefanyia kazi chombo ambacho ni cha kimataifa na hivyo kutokuwa na fairness katika upatikanaji wa wapiga kura.
  7. malipesa2014

    Airtel bundles disaster!

    Ni wiki ya pili sasa nikinunua kifurushi huwa sipati dakika za kifurushi, badala yake hela inaliwa kutoka kwenye main account. Nimepiga simu customer service mara kadhaa wananipiga danadana na inaonyesha hawajui wanachokifanya, kwani wanasema tatizo lako litakuwa solved baada ya 2 hours. Na hata...
  8. malipesa2014

    Clouds FM - Weekend Bonanza irekebishwe

    Kwa muda sasa nimekuwa mfuatiliaji wa kipindi cha weekend bonanza kinachoendeshwa na Kinyaiya na Suzy Baltazary. Kipindi hiki kimepita katika mabadiliko kadhaa lakini nadhani hayasaidii kukiboresha, bali kimezidi kuwa cha ovyo. Nadhani watangazaji (hawa wanaojiita wauza maneno wa mjini)...
  9. malipesa2014

    Airtel mnatia Aibu!

    Customer service line is supposed to be free. Lakini mnapopigiwa customer service line (100) mnachaji Sh. 60 halafu hata hao customer care assistants wenyewe hawatoshelezi hata kidogo - they don't solve issues. Utaambiwa NTARIPOTI KWA IDARA INAYOHUSIKA! Plz tafakarini tena hii kitu mnatia aibu!
  10. malipesa2014

    Regency Hospital

    Regency hospital, whats wrong with number 0222150500? Inapigwa haipokelewi! Which hotline is the best to reach this hospital? Mgonjwa anaweza kupoteza maisha kwa sababu ya uzembe wa operators. Please do the needful - pick up the phone!
  11. malipesa2014

    Heshima ya Rais ni zaidi ya profesa, Dr, nk

    Wataibuka engineers na wao ktk umoja wao watamtunuku rais uinjinia...basi atakuwa akiitwa hivi - Mh. Prof. Dr. Eng. Rais Jakaya Mrisho Kikwete lol!
  12. malipesa2014

    Mwongozo: Madini ya Ruby na soko lake nchini Msumbiji

    To me this is a Professor! Ubarikiwe sana Felix! Wewe ni mmoja ktk wachache sana nchi hii.
  13. malipesa2014

    Aibu ya NBC - Mlimani city

    Foleni ndefu na dirishani kuna mtu mmoja tu! What a SHAME
  14. malipesa2014

    Safari ya Rais JK, USA

    Mkuu wa nchi anaposafiri kwenda popote pamoja na delegation yake kikazi, pia huwa anabeba waandishi wa habari ili kuujulisha umma yale yanayotokea huko. Lakini iko tofauti kwa waandishi wetu wanaoambatana na JK, maana kwao imekuwa kama ni vacation au picnic. Coverage ya President imekuwa so...
Back
Top Bottom