eselungwi
Member
- Mar 12, 2012
- 97
- 70
Bora hata wewe unajua kuhusu utajiri wake ulitokana na nini. Wengi wansomtetea humu ndani wakiulizwa amepata wapi utajiri wake wanaishia kutukana na kusema ni wivu. Wewe kwa kweli unaonyesha una busara, hebu tuambie kaupata wapi?
Hahaha salute kwako dah