Recent content by MALIMI MESHACK

  1. MALIMI MESHACK

    Urafiki wa utata

    nishaacha mazoea naye mkuu.
  2. MALIMI MESHACK

    Urafiki wa utata

    sina mpango naye bro.
  3. MALIMI MESHACK

    Urafiki wa utata

    kwa hiyo nifanyeje sasa ndg?
  4. MALIMI MESHACK

    Urafiki wa utata

    Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28, nina rafiki wa kike lakini huyu rafiki wa kike huwa tunapenda sana kuongea usiku, lakini kila nikiongea naye siku hizi maongezi hayaishi mara ananiambia mimi sina usingizi kabisa lakini cha maana anachokuambia hakuna zaidi kukuulizia tu mchumba wako na...
  5. MALIMI MESHACK

    BIASHARA YA VITENGE

    umesema wapi?
  6. MALIMI MESHACK

    BIASHARA YA VITENGE

    Habari za jioni wadau,anayejua kuhusu bei za vitenge aina zote na jinsi zinavyouzwa kuna mtu yupo mkoani kaniuliza anataka kujua ili aangize,naomaba msaada wenu ili ajue na kama akiagiza yeyote aliyeko dar nitamtafuta ili aniuzie akikubaliana na bei hiyo.
  7. MALIMI MESHACK

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    mkuu kwa hiyo 92000 kwa matunzo ya miche yote nazani haiwezi kutosha kabisa,labda kuwepo na maji ya karibu ya bure au unamaanishaje mkuu?
  8. MALIMI MESHACK

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    hvyo vya pic tatu kila pic vinakuwa viwili viwili au?,maana kuna mtu mwingine anasema jola moja lina pic 6 na sh 42000 tu mkuu,
  9. MALIMI MESHACK

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    p poa nimekuelewa ndg ila naulizia vitenge huuzi vya mafuta?
  10. MALIMI MESHACK

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    poa ndg nimekuelewa lakin nitaangalia ila kama unauza vitenge vya java original niambie jola sh nagapi?
  11. MALIMI MESHACK

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    nguo zingine tofauti na hzo hakuna mkuu alafu hakuna hata vitenge?
Back
Top Bottom