Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,159
- 72,199
Ni kawaida tu..si unajua inategemea na madaYani hio avatar na majibu yako huwa yanajitosheza kabisa.....cjui wayatoleaga wapi
Ni kawaida tu..si unajua inategemea na madaYani hio avatar na majibu yako huwa yanajitosheza kabisa.....cjui wayatoleaga wapi
Anahitaji hogo tu, acha kulaza damu Malimi![]()
kwaiyo akipatiwa dushe atatulia?Yani mpaka unakumbatiwa kumbatiwa na wewe umetulia tu?
Anataka dushee huyo.
na ipo siku atafutwa mbele za watu na akachezewa dushe akabaki anacheka tuUmemzoesha mazoea mabaya
sina mpango naye bro.Kweli wanaume tunazidi kupungua. Mi nilifikiri utakuja kuomba ushauri ubaki na yupi?
nishaacha mazoea naye mkuu.Kama umeona anaweza kukuharibia mahusiano yako sasa unangoja nini mkuu...Embu shtuka na miaka yako 28 hiyo
big up sananishaacha mazoea naye mkuu.
Amevuka 18!Miaka 28!!!!!!!!!!!!
Hembu acha kutuaibisha wasukuma bwana na umri huo unaleta mambo ya aibu namna hii mbele ya jamii. Mwanamke unaona kabisa nyege zinamsumbua bado chenga za nini. Haya huna mpango naye kwanini hujamwambia kwamba huna mpango naye. We nadhani utakuwa msukuma wa dar wewe utokee itilima,ikunguilipu,giliku, au matongo jambo kama Hili halihitaji ushauri alaaah.nishaacha mazoea naye mkuu.