Taasisi hizi zikiwemo Polisi, na Usalama wa Taifa zimekuwa hazifanyi kazi zao kukidhi mahitaji ya KATIBA ya Nchi wala matakwa ya Uanzishwaji wa vyombo hivi bali kufuata utashi wa Raisi aliye Madarakani.
Maana yake ni kwamba vyombo hivi havitumikii Taifa bali Mtu. Mfano ni wa huyu aliyekuwa...
Huyu aliyekuwa anajiita Mwanaharakati huru aliyekuwa "anatetea" Mamlaka ya Urais wa Hayati John Pombe Magufuli yuko wapi? Ukimya wake katika kipindi hiki ambacho Mheshimiwa Raisi Samia Suluhu anashutumiwa kwa mambo kadhaa unatia mashaka kama kweli alikuwa anatetea "Uraisi" zaidi ya tumbo lake.
Kwa asimia ngapi Bandari zetu za Tanga na Mtwara zinatumika? Kuna tofauti gani za gharama kati ya kuzipanua na kuziimarisha Bandari za Tanga na Mtwara na ujenzi wa Bandari mpya ya Bagamoyo. Ni faida zipi zitakazoletwa na Bandari ya Bagamoyo ambazo hatuzipati katika Bandari za Tanga na Mtwara...
Kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake. Zito anajaribu kuingiza wazo la kupanua wigo wa mazungumzo. lakini kwa sasa jambo muhimu ni kuimarisha Demokrasia yasije yakajirudia yale ya 2020.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.