Recent content by Malifa

  1. M

    Kituo cha kurekebisha tabia za Wanadamu

    Wazo zuri,anzisha linawezekana japo changamoto zitakuwepo,familia nyingi zimeshindwa kuwaanda watoto juu ya taratibu za maisha,pengine wanazidiwa na majukumu ya kiuchumi, wanapenda kizazi chenye maadili lakini wameshindwa kuwaadilisha.
  2. M

    Tulio na madigrii tunaaibishwa sana na failures aisee! Nini maoni yako?

    Heshima pesa,elimu ni mwanga wa kukutoa gizani tu,utajiri kitu nyingine hyo,ukitaka heshima msomi fanyia kazi kwa vitendo elimu yako na jamii itakuheshimu tu,usiwe mtumwa wa wajinga wakati umetumia rasilimali za Taifa,kama unatarajia heshima hutaipata kwa vyeti tu ila mwanga utakuwa nao na...
  3. M

    Upi ukweli kuhusu hizi fununu?

    Fanya utafiti,tembelea hospt yoyote ya karibu, uliza watoto wa ngapi wa kiume au wa kike wamezaliwa ndani ya mwaka mmoja, pia uliza watu wakiume au wakike wangapi wamefariki ndani ya muda huo,je ndani ya ukoo wenu/mtaani watu wengi ni wanawake au wanaume?majibu utayapata
  4. M

    Namna ya kuhama chuo kimoja kwenda kingine

    Nenda chuo unachotaka kuhamia, uwe na nakala ya matokeo yako, waeleze wao ndiyo watawasiliana kuhamisha matokeo siyo wew tena, kozi zifanane, utatoa gharama ya miamala
  5. M

    Bill Gates amuonya Trump kuhusu Afrika

    Siyo ubinadamu kumudharau mtu wa chini uliyemnyonya kiuchumi na kujitajirisha(Afrika) trump hayuko sahihi,kila mwafrika anakiu ya maendeleo ila sera mbaya za wakoloni
  6. M

    NHIF yatolea ufafanuzi wa kwamba imesitisha huduma kwa watoto na wategemezi wa wanachama wake

    NHIF hamtutendei haki wanachama wenu, tupeni uhuru wetu wa kuchagua nani awekwe, sisi ndiyo wachangiaji,tunalea hata mayatima, wajane na walemavu,siyo razima wawe ndugu zetu, hawakutaka wawe hivyo pia, sheria inayotumika inatuondolea huruma ya kibinadamu na uzalendo wa kusaidia wahitaji...
  7. M

    Wanaume wenzangu nini kimetusibu mpaka tunaendesha vigari vidogo?

    Maisha siyo kuutangazia uma kuwa una hali nzuri, unajua kutumia pasipo kujali wengine ,gari ni nyezo tu yakukufikisha utakapo, vtz na passo zote ni gari na Tz ya leo hatushindani spidi,kumbuka gari kubwa matumizi makubwa, uko peke yako kwa nini utumie mafuta ya roli, cha mhimu ni kutambua wajibu...
  8. M

    INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

    Je professional cameras unazo? Printer epson je,? Jbu plse mi nko serous nahtaji
  9. M

    Wizi mkubwa wa pesa za noti zenye uzito wa tani 3.

    Daaaaah huo ni wiz wa akl xanaaa nadhn uktkea tz polis hawtawza kpta wahska
  10. M

    Hivi katika kazi ya Usalama wa Taifa uchawi unahusika au ni elimu tu?

    Hyo ni kazi ngumu nayahatari sana ninavyofikiri mimi, nashangaa kwanini watu tunaipenda na kuitamani,tunataka tuijue wakati waliyonayo hawataki uwajue wala uijue,tukiona mvu za kijasusi tunatamani kuwa masteringi wa movu, hyo co muvu ni ukweli mtupu,usizani kazi hyo itakupa sifa, haina utajiri...
  11. M

    Niulize kuhusu mashine za ujasiriamali na upatikanaji wake

    Naomba kujua kama kwenu naweza kupata mashine ndogo yenye uwezo wa kupasua jiwe la kuanzia kg200,bila mlipuko, pia mashine ya kuchonga tofali za mawe,
  12. M

    Nimenunua kamera aina ya Canon.. Sijui jinsi ya kutumia, nisaidieni wajuzi

    Andika printer unayotumia kwanza, nitakuelekeza
  13. M

    Nimenunua kamera aina ya Canon.. Sijui jinsi ya kutumia, nisaidieni wajuzi

    Kama unaanza kutumia kamera weka kwenye auto baadae utajifunza vinginevyo, mweke katkati ya kioo cha nyuma unayempiga yaani aonekane kisha bonyeza kitufe cha kupigia, usipumue wakati wa kubonyeza kipigio
  14. M

    Nasubiria mshahara na nyongeza zake kwa hamu kubwa

    Dhuruma hii,waliopanda nakunywang'anywa mishahara waliahidiwa kuwa pesa zao zipo zimetunzwa na bunge lilikuwa limepitisha bajeti,lengo ilikiwa kusubiri uhakiki wasiostahili na baada ya hapo watapewa, hili la tr moja nov limetoka wapi tena? Mwenye nguvu anaumiza wanyonge!Mungu atawalipa, ni...
Back
Top Bottom