Kutimuana kwa CCM haina maana kwamba ndio Upinzani utaimarika kwa hao waliotimuliwa kujiunga na Upinzani, kwani kama Kigezo cha kutimuliwa ni Ubadhirifu na utovu wa Nidhamu, sidhani kuwa watakua waadilifu wakiingia upinzani, bado wanadamu ya KiCCM hayo watakuja kutuvuruga tu hao, hawafai.