Na kwa nini awahi kukupakulia chakula? asubiri mume wake atoke jela ndiyo atoe hiyo huduma,na pia mkeo anakuwa wapi mpaka unachotewa chakula? kuna shida mahali pia ww unamchukuaje shemeji bila mkeo kwenda baa? maswali ni mengi.
Asante! ajira ni utumwa kazi siyo lazima uwe umeajiriwa kazi ziko nyingi za kujiajiri na unaweza toboa na kujiona muda uliotumia kuajiriwa ulipoteza. Huko tunaoenda tusiwaaminishe watoto wetu kuwa ukisoma lazima uajiriwe mwambie soma ujiajiri.
Watoto wanajua kuwa baba ahudumiwa na mama kwa kila kitu wanajua wakimpatia mama baba naye atafaidi, tofauti na baba wengi ndiyo hao wanahonga nyumba ndogo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.