Amani iwe kwenu wanajamvi!
Naam, leo tugusie kidogo haki za mfanyakazi pale anapofukuzwa kazi.
Kwanza tufahamu kumuachisha kazi mfanyakazi sio jambo baya au linalokatazwa, ila linatakiwa kufuata taratibu na sheria ili mwajili asiingie matatani.
Maana kama Mwajili hakufuata taratibu na sheria...
Habarini ndugu!
Nmeamua kuja na vitabu vya sheria kwa lugha ya kiswahili kwa ajili ya kuongeza uelewa katika mambo mbalimbali ya maisha ya kila siku,katika kitabu hiki utapata ufafanuzi katika topic zifuatazo:
1.NAMNA YA KUPATA DHAMANA POLISI AU MAHAKAMANI
2.HAKI ZAKO UNAPOKAMATWA NA POLISI...
Amani iwe kwenu ndugu zangu!
Naam nmekuja tena na vitabu vya sheria kwa kiswahili toleo la pili baada ya toleo la kwanza kufanya vizuri.
Vitabu hiki kimechambua kwa undani sheria zifuatazo:
1.SHERIA ZA NDOA NA MGAWANYO WA MALI NDOA INAPOVUNJIKA NA MALEZI YA WATOTO.
2.NAMNA YA KUJITETEA...
kilichotakiwa sio kuondoa machinga wote,ilitakiwa wale ambao hawakuwa na shida wabaki wale ambao ilikuwa kero ndo watolewe,imangine unawapa watu siku 30 waondoke wakati wamechukua mkopo hapo unaenda kuua vikoba na taasisi za kukopesha,tusifurahie tuu!
mkuu hapo unatakiwa ukafungue tume ya usuluhishi ambapo kama ulifukuzwa bila kufuatwa kwa taratibu basi unatakiwa upate remedies/fidia zifuatazo
1.kiinua mgongo
2.mishahara yako yote ambayo ulikuwa umesimamaishwa
3.mishaharay miezi12 ya usumbufu
4.mishahara mingineya miezi 12
hela ya likizo kama...
zzto anakubalika ndani ya mioyo ya watu wanofikiri sawasaw(critical thinker) hakika huyu jamaa pamoja na mapungufu yake bado ni mtu ambaye atatusogeza tunapopataka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.