Recent content by Malcolm Zheng

  1. M

    Mfereji wa Hormuz: Rais wa Marekani ahairisha oparesheni ya kusindikiza manowari za biashara

    Mfumo wa uongozi wa Iran ni imara kweli, na IRGC imara zaidi, dah Tanzania yetu ingekuwa na mfumo kama huu "decentralized but organized" tungekuwa mbali sana lakini ndiyo hivyo tena
  2. M

    Ukisikia Total-Blockade ndiyo hii sasa, Mlango bahari wa Hormuz hapiti yeyote bila idhini ya US!!!

    Vita haimuumizi iran peke yake kwa sasa kila mtu anaonjaa joto ya jiwe! Haina haja ya kushabikia watu baadhi kuvamia nchi nyengine ikiwa uvamizi huo unaumiza mpaka wasio husika
  3. M

    Ukisikia Total-Blockade ndiyo hii sasa, Mlango bahari wa Hormuz hapiti yeyote bila idhini ya US!!!

    Mkuu huwa unatoa hoja makini, Nakubali sana hoja zako Hongeraaaaa!!!!
  4. M

    NIULIZE SWALI: Hii vita ya USA, Israel vs Iran, nani mshindi?

    Haijalishi nani mshindi, gharama za nishati kupanda zimemgusa kila mtu.
  5. M

    BBC: Meli zashambuliwa Hormuz, nyengine zageuza baada ya onyo la Iran

    Trump atatoboa kweli kwenye uchaguzi wa November??
  6. M

    Marekani na Israel zaanza maandalizi ya kuipiga tena Ira

    Israil hata siku moja hawezi ng'o!!! Kuvamia nchi kama Iran akiwa peke yake sababu Hana huo uwezo. Ingawa tunaambiwa Israil Ina jeshi bora, vifaa bora na tejnolojia ya Hali ya juu.
  7. M

    Rais Samia Aweka rekodi ya Kujenga Masoko ya Wajasiriamali Kwenye Miji Yote Tanzania Nzima.Haijawi Tokea Kabla

    Samia kajenga masoko fedha katoa wapi?? Samia hawezi Jenga hata kasoko bila fedha za wananchi walipa Kodi!! Kama kajenga tupe maelezo fedha katoa wapi???
  8. M

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Iran kaiba teknolojia yeyote kutoka kwa yeyote?? Drones? Makombor1?
Back
Top Bottom