Mfumo wa uongozi wa Iran ni imara kweli, na IRGC imara zaidi, dah Tanzania yetu ingekuwa na mfumo kama huu "decentralized but organized" tungekuwa mbali sana lakini ndiyo hivyo tena
Vita haimuumizi iran peke yake kwa sasa kila mtu anaonjaa joto ya jiwe!
Haina haja ya kushabikia watu baadhi kuvamia nchi nyengine ikiwa uvamizi huo unaumiza mpaka wasio husika
Israil hata siku moja hawezi ng'o!!! Kuvamia nchi kama Iran akiwa peke yake sababu Hana huo uwezo. Ingawa tunaambiwa Israil Ina jeshi bora, vifaa bora na tejnolojia ya Hali ya juu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.