Nimeamini kwamba kweli waTanzania mfumo wa 'zidumu fikra za mwenyekiti' unatudumaza sana.Kama kweli CHADEMA wameondoa kipengele cha ukomo wa uongozi katika katiba ya chama hilo ni TATIZO,huwezi kukiweka chama kama taasisi ya watu wachache.Unapokosolewa badilika,CHADEMA tusijifanye MIUNGU watu.
Kama Slaa angekuwa kweli ana lengo la kuimarisha chama Kigoma,kwanin asisubiri vuguvugu la Zitto na Chadema lifikiwe muafaka?There z somthing wrong n this proves us that they know what is going to happen.The truth can never perish when a lie comes from a fool.
Hapo dogo nimekusoma na BAVICHA wamekupata vizuri.Lengo lako hapa inaonekana si vijana kujadili kuhusu rasilimali zetu wala nini,ulilenga kuwachana BAVICHA.Mmmmh.
Naamini Mwisho Mwampamba si mwendawazimu,hawa viruses katika tasnia ya utangazaji lazima wamelizua kweli.Unajua hao 'scumbags' wa hiyo redio nadhani ulimbukeni katika utangazaji hauwaishi tu,kila leo wasemwe wao tu na si wengine.Tatizo wanaendesha redio yao huku elimu na akili zao wakiwa...
Nape Nnauye,sura yako na vitendo vyako hata haviendani,unapoenda kudeliver speech yoyote ile kwenye public lazima ujipange,hasa wewe ambaye ni kiongozi mkubwa kabisa ktk chama chako.Take care bro itafika hatua mtapoteana hata mtaani mtakuwa mnaogopa kupita.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.